Marekani Yalaani Kufutwa kwa Matokeo Ya Uchaguzi Mkuu Zanzibar Marekani imelaani hatua ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC ya kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais pamoja na wajumbe wa bunge la wawakilishi visiwani humo. Katika taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa ubalozi huo nchini Tanzania, Marekani ilisema imeshtushwa...
Makamishna wapinga kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar . Muda mchache baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salim, kutangaza jaribio lake la kuufuta uchaguzi mkuu wa2015, makamishna wawili wa Tume hiyo, Ayoub Bakar na Nassor Khamis, wameuita uamuzi huo kuwa "si wa ZEC, bali...
APIGWA KWA KUZANIWA MWIZI SWADAKTA! Katika hali ya kustaajabisha, kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan, ambaye mwishoni mwa wiki amejikuta akishushiwa kipigo kwa kudhaniwa kuwa kibaka, alisalimika baada ya kuanza kusali kwa kuwashtakia kwa Mwenyezi Mungu waliokuwa wakimpiga, akisema hakuwa na hatia na ghafla watu hao kusitisha...
SUDAN KUSINI WALIBAKA NA KULA WATU-AU Image copyrightAFPImage captionRipoti hiyo imeorodhesha matukio ya utekaji na udhalilishwaji wa wanawake. Muungano wa Afrika umeilaumu jeshi la serikali ya Sudan Kusini na vikosi vya waasi kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu na uhalifu wa kivita. Uchunguzi wa AU ulibaini kuwa...
Profesa Jay ashinda kiti cha ubunge TZ Image captionProfesa jay Msanii wa Bongo Joseph Haule maarufu kwa jina 'Profesa Jay' ndiye msanii wa hivi karibuni kuwahi kushinda kiti cha ubunge nchini Tanzania. Msanii huyo wa muziki wa Rap alitangazwa mshindi wa kiti cha eneo bunge la Mikumi katika...
CCM Wailalamikia tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Na Mhamed khamis Zanzibar. Chama cha Mapinduzi CCM Zanzibar kimesema hakina imani na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) katika uendeshaji nzima wa uchaguzi. Akizungumza na waandishi wa habari visiwani hapa Naibu katibu mkuu CCM Bwana Vua Ali Vuai amesema baadhi...
NEWS UPDATE: Mabomu ya Machozi Yarindima Mwanza Kuwatawanya Wafuasi wa Chadema Walioingia Barabarani Kushangilia Ushindi Polisi mkoani Mwanza jana walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema walioingia mitaani kushangilia wakiamini wagombea wao wanaongoza katika matokeo ya awali. Tukio hilo lilitokea kwenye kituo cha kupigia...
Vibanda vya Mama Lishe na Mitumba Vyachomwa Moto Mkoani Njombe....Polisi Yawataka Wananchi Kuwa Watulivu Wakati Wakisubiri Matokeo Moto ambao chanzo chake hakijajulikana hadi sasa umeteketeza baadhi ya mabanda ya mama lishe na mitumba karibu na kituo cha mabasi mkoani Njombe. Hata hivyo, kikosi cha Zimamoto mkoani humo kimefanikiwa...
MAALIM SEIF APIGA KURA KITUO CHA GARAGARA MTONI KIDATU UNGUJA Na Hassan Hamad, OMKR. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amepiga kura katika kituo cha Garagara Shehia ya Mtoni Kidatu jimbo la Mtopepo. Maalim Seif ambaye pia ni Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia...
Video..Kura fake zaokotwa Bukoba shule ya sekondari Kahororo zikiwa zimeshatikiwa . Kupitia ITV imeripotiwa huko BUKOBA vijijini hali baada ya wanafunzi wa shule ya secondari KAHORORO kupewa shahada ya kupigiakura Ili wazidumbukize katika masanduku ya kura Richa ya kwamba hawakuwa wapiga kura wa eneo hilo. Shahada hizo...
Uchaguzi Wahairishwa Bariadi Kwa Kukosa Karatasi za Udiwani Wakati zoezi la upigaji kura likiendelea nchi nzima wakazi wa kata ya Matongo, jimbo la Bariadi, mkoani Simiyu wameshindwa kupiga kura kwa nafasi ya udiwani kwa kile kinachodaiwa uhaba wa karatasi za kupigia kura. Akiongea na waandishi wa habari Msimamizi...
WAKAZI WA JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA, MADUKA YAFUNGWA KUAJILI YA UCHAGUZI Wakazi wa Jiji la Mbeya Mjini wajitokeza kwa wingi kupiga kura katika Vituo mbalimbali walivyo jiandikishia kuajili ya kupiga Kura kama waonekanavyo hapo katika Picha ni baadhi ya watu wakiwa katika kituo kilichopo...
Mgombea urais wa TLP, Macmillan Lyimo amepiga kura yake muda mfupi uliopita Mgombea urais wa TLP, Macmillan Lyimo amepiga kura yake muda mfupi uliopita, asema hapakuwa na fomu namba 19 lakini kitambulisho alikuwanacho. ...
WENYE SIMU ZA WHATSAPP, BLOGGERS, VYOMBO VYA HABARI HII INAWAHUSU SIKU YA UCHAGUZI TCRA YATOA ONYO Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui na Maadili wa TCRA, Injinia Margaret Munyagi (katikati) akifafanua jambo MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevionya vyombo vya habari vitakavyotangaza matokeo ya uchaguzi mkuu kinyume cha sheria...