October 29, 2015

  • Makamishna wapinga kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar



    Makamishna wapinga kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar   . Muda mchache baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salim, kutangaza jaribio lake la kuufuta uchaguzi mkuu wa2015, makamishna wawili wa Tume hiyo, Ayoub Bakar na Nassor Khamis, wameuita uamuzi huo kuwa "si wa ZEC, bali wa Jecha binafsi" na wamejitenga mbali nao. Endelea kuambatana nasi.

  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.