Na Mwandishi Wetu
        Vijana kutoka mikoa              mbalimbali wamezidi kumimika kutumia fursa ya kujipatia              masomo ya ngazi ya chuo inayotolewa na Chuo cha Mlimani              School of Professional Studies cha jijini Dar es Salaam.
        Mkurugenzi            wa chuo hicho Hassan Ngoma alisema idadi ya wanaojitokeza            kujiunga na mpango huo maalumu wa kuwasaidia maskini kupata            elimu bora ni kubwa na kwamba imekuwa ikiongezeka kila siku.
        "Kama            nilivyosema, lengo la chuo chetu ni kuwasaidia vijana wapate            elimu siyo kutengeneza faida kubwa. Ndiyo maana tumekuwa            tukitoa taaluma mbalimbali pamoja na kuwasaidia wanafunzi wetu            kupata ajira," alisema Hassan.
        Nyingine ni            Procurement and Supply, Journalism and Mass Communication na            Information Technology.Wanaotaka ufafanuzi wanaweza kupiga            simu namba 0715-200900.            
        
0 comments:
Post a Comment