September 26, 2015

  • KAMA TUNGEJUA MAKOROKORO YANAYOWEKWA KWENYE VIPODOZI VYA KUJICHUBUA TUSINGETUMIA!


    KAMA TUNGEJUA MAKOROKORO YANAYOWEKWA KWENYE VIPODOZI VYA KUJICHUBUA TUSINGETUMIA!
    A woman who uses skin whitening creams. Source:            celebritieslodge
    A woman who uses skin whitening creams. Source: celebritieslodge
    Inaeleweka kuwa vipodozi vya kujichubua vinamadhara kwa ngozi,hasa cancer ya ngozi. sidhani kama wengi wanapata muda wa kusoma vitu vilivyochanganywa  kwenye huo mkorogo, jamani unapaka kitu kina kemikali,za hatari kama hizi, hivi kweli unawaza haya makemikali yanafanya nini  ngozi yako? unapaka kitu kinacontain Mercury, Hydroquinone na mengineyo. kwanini usibaki kama ulivyo, kwanza unakuwa mzuri zaidi, na unauhakika wa kuwa na ngozi yenye afya, na kinachosikitisha hiyo cream ikiisha unarudi kwenye rangi yako, na sio utabaki mweupe moja kwa moja. 



    According to the Ivorian Ministry the ban is mostly targeted at the skin whitening products containing mercury and its derivatives, cortisone, 
    vitamin A and more than two percent hydroquinone, a lightening agent that is mostly used to develop photographs.

    The statement declared that the widely used cosmetic lightening and hygiene creams are now forbidden in the country as they are likely to cause serious health threats to the people using them. A startling claim that was corroborated by a member of Ivory Coast's pharmaceutical authority, Christian Doudouko.
    "The number of people with side effects caused by these medicines is really high," he said, adding that they could cause serious skin conditions such as skin cancer.
    Billboard              advertising skin lightening products. Source: newsforafrica
    Billboard advertising skin lightening products. Source: newsforafrica
    Dermatologists have also tried to warn people about the hazards of using the products which they say could lead to hypertension and diabetes.
    While there are no official statistics of women using the products in Africa, women from all walks of life including  India, Pakistan, Japan, America as well as the Middle East, have also have also resorted to bleaching in their quest for "beauty".
    The ban comes at a time when skin bleaching advertisements have played a pivotal role in twisting people's perception of beauty by portraying people with light skin as the most beautiful thereby pushing women to bleach their skin in search of beauty.
    Source: The Times


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.