Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

September 29, 2015

  • JAJI LUBUVA ASEMA MADAI YA MBOWE HAYANA UKWELI

    JAJI LUBUVA ASEMA MADAI YA MBOWE HAYANA UKWELI Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekanusha tuhuma kuwa baadhi ya wakurugenzi wa NEC wameachishwa kazi ghafla na kazi zao wamepewa watu ambao watakipendelea Chama cha Mapinduzi. Mwenyekiti wa Tume Jaji Lubuva amesema tuhuma zilizoibuliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe...
  • FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

    FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU NA JAMIIMOJABLOG) WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni...
  • September 28, 2015

  • MBINU 5 ZA KUKUPA MAISHA YA MAFANIKIO

    MBINU 5 ZA KUKUPA MAISHA YA MAFANIKIO Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati...
  • September 27, 2015

  • STOP PRESS: TANZANIA YAPETA TENA KATIKA MPANGO WA KUPATA MABILIONI YA MCC

    STOP PRESS: TANZANIA YAPETA TENA KATIKA MPANGO WA KUPATA MABILIONI YA MCC ·          Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya...
  • Mgombea Chadema atiwa mbaroni Dodoma Akituhumiwa Kumpiga Chupa Polisi

    Mgombea Chadema atiwa mbaroni Dodoma Akituhumiwa Kumpiga Chupa Polisi JESHI la polisi mkoa wa Dodoma linamshikilia Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema, Benson Kigaila pamoja na wenzake kumi ambao ni wafuasi wa chama hicho.  Kauli hiyo ya kukamatwa kwa wafuasi hao pamoja na mgombea ubunge huyo ilitolewa jana...
  • Wahadhiri UDOM kugoma, wadai mishahara

    Wahadhiri UDOM kugoma, wadai mishahara WAHADHIRI takriban 800 waliopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameazimia kutoingia madarasani kufundisha kuanzia Novemba 2 mwaka huu mpaka hapo serikali itakaposhughulikia suala la muundo mpya wa mishahara. Kauli hiyo ilitolewa jana na Kaimu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanataaluma wa UDOM (Udomasa),...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.