June 22, 2014

  • RUKSA UCHAGUZI KUENDELEA SIMBA



    RUKSA UCHAGUZI KUENDELEA SIMBA

    https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEho0cV3yAhi7Oj17IyUXqqLROQGqN5zNt6HsLdHiVC1S1rOAj5uGRRHUxCFVQ0AdleIYCQNe3XxXNPnScKenn_-SY8v7iac0XrKdvIP5mdXpK6qLOWzfIGEbc-QNj9xoCICytXpBLUyGMkG/s640/malinzi.jpg

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya kupokea na kuzingatia maombi ya Simba (barua imeambatanishwa), na kwa kuzingatia Ibara ya 26 ya Kanuni za Uchaguzi za TFF toleo la 2013 limeiruhusu klabu hiyo kuendelea na mchakato wa uchaguzi wao uliopangwa kufanyika Juni 29 mwaka huu.
    TFF inawahimiza wanachama wa klabu ya Simba kuwa watulivu na wafanye uchaguzi wao kwa amani.

    BONIFACE WAMBURA
    OFISA HABARI NA MAWASILIANO
    SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.