Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

June 30, 2014

  • Membe amuaga rasmi Balozi wa Afrika Kusini nchini

    Membe amuaga rasmi Balozi wa Afrika Kusini nchini Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimkabidhi aliyekuwa Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Mhe. Thanduyise Henry Chiliza zawadi ya picha ya kuchora ya Mlima Kilimanjaro wakati wa hafla ya kumuaga Balozi huyo...
  • WAZIRI WA NCHI AKIZUNGUMZA NA BALOZI WA UJERUMANI

    WAZIRI WA NCHI AKIZUNGUMZA NA BALOZI WA UJERUMANI Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira Dr. Eng. Binilith Satano Mahenge wa (kwanza kushoto) akizungumza na Balozi wa Ujerumani Mr. Hans Koeppel alipomtembelea ofisini kwakwe mtaa wa luthuli jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano wa mabadiliko...
  • MUIGIZAJI WA FILAMU YA TITANIC YUPO BRAZILI NA MELI YA KIFAHARI

    MUIGIZAJI WA FILAMU YA TITANIC YUPO BRAZILI NA MELI YA KIFAHARI Dunia yote imeangazia mashindano ya fainali za kombe la dunia na kila mwenye muda na uwezo amefika Brazil kuhakikisha anaangalia kwa moja kwa moja mashindano hayo. Mastaa kibao wametua Brazil kwa mitindo tofauti lakini muigizaji wa Titanic...
  • WATANZANIA WAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDA LA PPF SABASABA KUJIPATIA HUDUMA MBALIMBALI

    WATANZANIA WAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDA LA PPF SABASABA KUJIPATIA HUDUMA MBALIMBALI  Afisa Michango kutoka PPF Makao Makuu, Bi Glory Maboya (kulia) akimpatia maelezo ya Huduma mbalimbali mmoja wa wateja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF katika Viwanja vya Mwl Nyerere maarufu kama Sabasaba....
  • PICHA WANAFUNZI WA UDOM WALIPOKUWA WANAGOMBANIA USAFIRI

    PICHA WANAFUNZI WA UDOM WALIPOKUWA WANAGOMBANIA USAFIRI  Askari polisi anayelinda usalama wa abiria na mali zao katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani akijalibu kutoa maelekezo kwa wanafunzi wa UDOM waliofika kutafuta usafiri kituoni hapo na kukuta hali ya usafiri hailidhishi kutokana na uchache wa Mabasi.  Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma...
  • ROBBEN AKUBALI ALIJIANGUSHA, MASHABIKI MEXICO WACHARUKA

    ROBBEN AKUBALI ALIJIANGUSHA, MASHABIKI MEXICO WACHARUKA Kauli ya mshambuliaji wa Uholanzi, Arjen Robben kwamba kweli alijirusha kwenye mechi dhidi ya Mexico imewakera mashabiki wa timu hiyo. Robben amesema alijirusha mara kadhaa lakini akakataa kwamba alijiangusha katika dakika ya tatu ya nyongeza iliyozaa penalti. Alisema mara zote alizojiangusha hakufanikiwa...
  • Umbea wa Nathan Mpangala

    umbea wa nathan mpangala ...
  • RAIS KIKWETE KUFUNGUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII

    RAIS KIKWETE KUFUNGUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII Swahili Tourism Expol kufanyika Dar es Salaam   Na Mwandishi Wetu   RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maonyesho ya kimataifa ya utalii yanayojulikana kama Swahili Tuorism Expo yanayotarajiwa kufanyika Dar es Salaam Oktoba mwaka huu.   Waziri...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.