NHIF ILIVYONYAKUA KOMBE LA USHINDI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akisaini kitabu cha wageni katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma aliyoyafunga jana.Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alitumia fursa hiyo pia kupima afya yake katika banda la upimaji afya la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
0 comments:
Post a Comment