June 16, 2014

  • Mdau ashuhudia ngoma ya argentina na Bosnia Herzegovina



    mdau ashuhudia ngoma ya argentina na Bosnia Herzegovina
    Mdau Moody Kiluvia akiwa katika Uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro kushuhudia mechi ya Argentina dhidi ya Bosnia Herzegovina ambapo Argentina wameshida kwa bao 2-1. Matokeo mengine ya leo ni Uswisi imeshinda 2-1 dhidi ya Ecuador, wakati Ufaransa imeizamisha Honduras kwa bao 3 mtungi. 




  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.