June 23, 2014

  • MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA III



    MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA III
    From Mwananchi of 23rd June
    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-

    Mtendaji Wa Kijiji Daraja III - Nafasi 1- Mshahara TGS B 

    Sifa:
    • Awe mwenye elirnu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chua cha Serikali za Mitaa Hombolo, Do:loma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
    Majukumu ya kazi:
    • Afisa Masuull na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijlji
    • Kusimamia Ulinzi na Usalama wa raia na mali zao, kuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika kiJiji
    • Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya
    Maendeleo ya Kijiji
    • Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya Kijiji
    • Kutasfiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibu
    • Kuandaa taarifa za Utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa,
    umaskini na kuongeza uzalishaji mali
    • Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya kitaalam katika kijiji
    • Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na Nyaraka za
    kijiji
    • Mwenyekiti wa kikao cha wataalamu waliopo katika kijiji
    • Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi
    • Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kijiji; na
    • Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

    APPLICATION INSTRUCTIONS:

    SIFA ZA JUMLA:
    l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
    Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
    Wawe raia wa Tanzania.
    Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-

    Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
    S.L.P.263,
    IFAKARA/ KILOMBERO.
    maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
    Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
    Azimina Mbilinyi
    Mkurugenzi Mtendaji wilaya
    KILOMBERO.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.