August 19, 2014

  • JAJI LEWIS MAKAME ATAZIKWA PONGWE, TANGA JUMAMOSI.



    JAJI LEWIS MAKAME ATAZIKWA PONGWE, TANGA JUMAMOSI.

    Marehemu Jaji Mstaafu  Lewis Makame enzi za uhai wake.
    Nyumbani kwa marehemu eneo la Masaki, Dar es Salaam.
    Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani,  akitoa utaratibu wa mazishi ya  Makame.
    Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu.
    Ndugu na jamaa wakiwa msibani.
    Kushoto ni Mhariri Mtendaji wa New Habari Cooperation, Absalom Kibanda, akiwa na Agustino Ramadhani  nyumbani  Makame.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.