August 24, 2014

  • AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA COASTER MOROGORO!



    AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA COASTER MOROGORO!
    Askari wa usalama barabarani wakipima eneo la ajali.
     
    Mwili wa marehemu ukiwa umewekwa ndani ya gari.
    MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Mgogo, ambaye ni dereva  wa bodaboda amegongwa gari na kufariki papo hapo, jioni hii mkoani Morogoro.Gari iliyomgonga dereva huyo ni aina ya Coaster  inayofanya safari ya Kihonda Mjini mkoani humo.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.