August 26, 2014

  • NIGHT OF PRAISE ILIVYOFANA KATIKA PICHA MWISHO WA WIKI


    NIGHT OF PRAISE ILIVYOFANA KATIKA PICHA MWISHO WA WIKI
    Usiku wa ijumaa ya Agosti 22 ulikuwa ni usiku mwema kwa kundi la Soul Music Gospel International (SMG) pamoja na watu mbalimbali waliofika katika kanisa la Living Water Makuti Kawe kwa ajili ya kumsifu Mungu.

    Katika usiku huo ambao ulipewa jina la Night of Praise huku ukiandaliwa na Soul Music, ulijumuisha pia waimbaji mbalimbali, zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio kwa usiku huo jinsi ulivyokuwa

    WAIMBAJI MBALIMBALI WAKIMSIFU MUNGU
    Bale akihudumu

    Mkongo huyu aliwachezesha watu sebene kwa sana

    Emmanuel Mabisa akicheza sebene



    Mellody Ndichu kutoka Kenya

    Emmanuel Gripa au Imma Solo na Kushoto ni mtayarishaji mziki Masanja

    Dickson Gripa kaka wa Emmanuel Gripa

    Fredy Msungu (kulia) akipiga Bass sambamba na mpiga solo ambaye jina lake halikupatikana mara moja


    Baadhi ya waimbaji wa Spring of Praise kutokea Arusha wakiwa wanejumuika na watu wengine kumchezea Mungu


    MC's nao hawakuwa mbali kwenye kucheza Kutoka  kushoto ni Fredy Msungu, Sam Sasali pamoja na Belinda Lifard Mlawa


    Living Water wakiwaongoza watu kumsifu Mungu


    Spring of Praise kutoka Arusha wamebarikiwa sauti


      SOUL MUSIC GOSPEL



    Soul Music Gospel International wakiwekwa wakfu


    Hizo ndio baadhi ya picha katika Night of Praise.

    Kwa upande wa picha za sherehe ya kutimiza mwaka mmoja mkakati wa Yesu Okoa Mitaa zitafatia. endelea kuwa karibu na Gospel Kitaa


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.