October 06, 2014

  • NGUMI ZILIVYOPIGWA SIKUKUU YA IDI MKWAKWANI TANGA



    NGUMI ZILIVYOPIGWA SIKUKUU YA IDI MKWAKWANI TANGA
    Bondia Fransic Miyeyusho kushoto  akipangua konde la Emilio Norfat wakati wa mpambano wao uliofanyika wakati wa sikuku ya Idi katika uwanja wa mkwakwani Tanga Miyeyusho alishinda kwa point Picha na SUPERD BLOG
    Bondia Fransic Miyeyusho akioneshwa kuwa ni mshindi baada ya kumdunda Emilio Norfat kwa point
    nyimbo za taifa zikipigwa kabla ya mpambano
    Bondia Osgood Kayuni wa Malawi akipambana na Allen Kamote wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Dunia wa UBO Kamote alibuka mshindi wa mpambano huo kwa point 
    Bondia Osgood Kayuni wa Malawi akimrushia konde  Allen Kamote wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Dunia wa UBO Kamote alibuka mshindi wa mpambano huo kwa point
    Bondia Osgood Kayuni wa Malawi akipambana na Allen Kamote wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Dunia wa UBO Kamote alibuka mshindi wa mpambano huo kwa point 
    Bondia Jacob Maganga na Said Mundi wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde mpaka mwisho wa mpambano matokeo ni droo
    Bondia Thomas Mashali akioneshana umwamba na Allibaba Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika katika uwanja wa mkwakwani Tanga siku ya sikukuu ya Iddi Mashali alishinda kwa T.K.O ya raundi ya tatu 
    Bondia Thomas Mashali akioneshana umwamba na Allibaba Ramadhani wakati wa mpambano wao uliofanyika katika uwanja wa mkwakwani Tanga siku ya sikukuu ya Iddi Mashali alishinda kwa T.K.O ya raundi ya tatu 
    Bondia Alibaba Ranmadhani akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Thomasi mashali wakati wa mpambano wao uliofanyika siku ya sikukuu ya Idi katika uwanja wa mkwakwani Tanga Mashali alishinda kwa T.K.O ya raundi ya tatu


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.