Hii ndiyo Hiace inavyoonekana mara baada ya kupata ajali





Kwa mujibu wa ripota wa eddy blog aliyefika eneo hilo amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 jioni na abiria kadhaa wamejeruhiwa na kukumbizwa hospitali kwa matibabu zaidi huku abiria mmoja akihisiwa kufariki dunia katika ajali hiyo
Hizi ni taarifa za awali na eddy blog inaendelea kufuatilia taarifa za ajali hiyo ili uzipate kwa uhakika, endelea kuwa nasi mara mara
Picha na Thade Expensive wa eddy blog, Moshi
0 comments:
Post a Comment