August 14, 2014

  • WASHIRIKI WA DANCE 100% WAADHIMISHA SIKU YA VIJANA VODACOM



    WASHIRIKI WA DANCE 100% WAADHIMISHA SIKU YA VIJANA VODACOM
    Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akifafanua jambo kwa washiriki walioingia robo fainali katika shindano la Dance 100% walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam na kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Vijana duniani jana.Shindano hilo litakalofanyika Agosti 23 limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na Mshindi wa shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.
    Washiriki walioingia robo fainali ya shindano la Dance 100% wakimsikliza kwa makini Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam na kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Vijana duniani jana.Shindano hilo litakalofanyika Agosti 23 limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na Mshindi wa shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.
    Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa akipozi kwenye picha na baadhi ya washiriki walioingia robo fainali ya shindano la Dance 100% litakalofanyika Agosti 23 walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam na kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Vijana duniani jana.Shindano hilo limeandaliwa na EATV na Mshindi wa shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.
    Baadhi ya washiriki walioingia robo fainali ya shindano la Dance 100% wakifurahi jambo pamoja na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu wakati walipotembelea makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Vijana duniani jana.Shindano hilo litakalofanyika Agost 23 limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.Mshindi wa shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.



  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.