July 17, 2014

  • Zainab Matitu Vullu aipiga jeki hospitali ya wilaya ya Kisarawe




    Zainab Matitu Vullu aipiga jeki hospitali ya wilaya ya Kisarawe
     
     Mbunge wa  viti maalum  Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabu Matitu  Vullu akizungumza na Mganga Mkuu wa  Wilaya  ya  Kisarawe mkoani Pwani,Dk Happiness Ndossi baada ya kukabidhi > mashine ya kufuria nguo za wagonjwa, Mashuka,  pamoja na mipira ya Baiskeli  kwa ajili ya Hospitali hiyo  vyote vikiwa na gharama ya Shilingi Milioni Sita na laki  tano
     Wilaya ya Kisarawe,Dk. Happiness Ndossi  akionyesha moja ya shuka zilizotolewa na Mbunge wa Viti  maalum Mkoa wa Pwani, Mhe Zainabui Matiti Vullu kwa ajili ya  Hospitali ya Kisarawe pamoja na mashine mpya ya kufulia nguo  za wagonjwa na mipira ya Baiskeli kwa ajili ya kubebea  wagonjwa
      Mashine iliyokabidhiwa kwa Hospitali ya Kisarawe mkoani  Pwania na Mbunge wa viti maalum, Mhe Zainabu Mattiti Vullu
     Mbunge wa Viti maalu mkoani wa Pwani  Mhe Zainab Matitu Vullu  akizungumza wakati wa kukabidhi mashine ya kufulia nguo za wagonjwa, mashuka na mipira ya Baiskeli  kwa hospitali hiyo
    Mhe. Zainab Matitu Vullu  akizungumza wakati wa kukabidhi mashine ya kufulia nguo za wagonjwa, mashuka na mipira ya Baiskeli  kwa hospitali hiyo


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.