Enzi hizo Raizoni hii                iliyotengenezwa na kiwanda cha Bora Shoes Barabara ya Pugu                Road (sasa Nyerere Road) kilikuwa kinauzwa kwa bei ya                shilingi 320. Ukamilifu wa utanashati wa vijana wengi wa                enzi hizo ulikuwa haukamiliki kama patakosekana shati la                ndege la kubana, buga na hii Raizoni. Wenye data zaidi                uwanja wenu huu...
        
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment