July 17, 2014

  • Raizoni



    Raizoni
    Enzi hizo Raizoni hii iliyotengenezwa na kiwanda cha Bora Shoes Barabara ya Pugu Road (sasa Nyerere Road) kilikuwa kinauzwa kwa bei ya shilingi 320. Ukamilifu wa utanashati wa vijana wengi wa enzi hizo ulikuwa haukamiliki kama patakosekana shati la ndege la kubana, buga na hii Raizoni. Wenye data zaidi uwanja wenu huu...


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.