July 31, 2014

  • USIKU WA MNYAMA NA WANYAMA WATIKISA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD PILI




    USIKU WA MNYAMA NA WANYAMA WATIKISA DAR LIVE SIKUKUU YA IDD PILI
    Mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Khalid Mohammed 'TID Mnyama' akizikonga nyoyo za mashabiki wa Dar Live katika Usiku wa Mnyama na Wanyama.

    Mnyama TID akijiachia kwa mashabiki wake wa Dar Live.
    Mwanamuziki Jafarai akipagawisha mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
    Jay Moe akifanya makamuzi katika steji ya kupanda na kushuka ya Dar Live.
    Inspector Haroun akiwapa hi mashabiki wake ndani ya Dar Live.

    Mwanadada Naaziz kutoka Kenya akilishambulia jukwaa la Dar Live.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.