July 28, 2014

  • Olimpija Ljubljana 1 Chelsea 2

     
    Diego Costa akiipatia Chelsea bao la kusawazisha baada ya timu hiyo ya darajani kwenda mapumziko ikiwa nyuma kwa bao 1-0 mechi hii iliyochezewa uwanja wa Stozice nchini Slovenia.
    Wachezaji wa Chelsea wakishangilia bao la 2 na la ushindi lililofungwa na Kurt Zouma.

    didier-drogba-olimpija
    Benchi likfurahia kuwa na mchezaji wao wa zamani Didier Drogba
    kurt-zouma-olimpija
    Kurt Zouma akifunga goli lililokataliwa kuwa alikua amezidi.
  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.