Diego Costa akiipatia Chelsea bao la kusawazisha baada ya timu hiyo ya darajani kwenda mapumziko ikiwa nyuma kwa bao 1-0 mechi hii iliyochezewa uwanja wa Stozice nchini Slovenia.

Wachezaji wa Chelsea wakishangilia bao la 2 na la ushindi lililofungwa na Kurt Zouma.
Kurt Zouma akifunga goli lililokataliwa kuwa alikua amezidi.
0 comments:
Post a Comment