Alisema kwa mwaka huu shangwe za Serengeti Fiesta zitaanzia mkoani Mwanza na kisha kufuatiwa na mikoa mingine hapa nchini.
Aidha Mafuru alisema kuwa mbali na bia ya Serengeti ambayo ndiyo mdhamini mkuu wa Fiesta lakini pia wa watanzania wategemee kuburudika kwa bidhaa zingine mpya zinazotengenezwa na malighafi za hapa hapa nchini zitakazoingia sokoni siku chache zijazo.
0 comments:
Post a Comment