Katika hali ya kuhuzunisha jamaa mmoja anaejulikana kwa jina la ngosha amekutwa amejinyonga kwenye mti.....bila ya kuacha ujumbe wowote
habari za kuaminika zinasema kuwa tukio hilo lilitokea jana usiku ambapo baadhi ya wananchi alfajiri yake waliuona mwili wa marehemu akining'inia juu ya mti na kutoa taarifa katika kituo cha polisi chalinze ambapo difenda ya polisi ilienda kuuchukua mwili wa marehemu huyo ....
enzi za uhai wake ngosha amekuwa akijishughurisha na biashara ya nyamachoma katika barabara ya kuelekea magindu... Na makazi yake yalikuwa ni mkabeni
polisi wanaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo....
0 comments:
Post a Comment