July 13, 2014

  • KOCHA WA UJERUMANI AONYA, ASISITIZA REKODI MPYA KOMBE LA DUNIA LEO



    KOCHA WA UJERUMANI AONYA, ASISITIZA REKODI MPYA KOMBE LA DUNIA LEO
    Kocha Joachim Low, amesisitiza Ujerumani haimhofii Lionel Messi hata kidogo katika mechi ya fainali dhidi ya Argentina, leo.
    Lakini akasisitiza kuwa, Ujerumani itaweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Ulaya kuchukua Kombe la Dunia katika ardhi ya Bara la Amerika Kusini.



  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.