
MAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA KAMPENI YA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI BARANI AFRIKA. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Josephine Kulea kutoka Taasisi ya Samburu Girls ya nchini Kenya mara baada ya binti huyo kutoa ushuhuda wake kuhusu namna alivyoathirika na ndoa za utotoni wakati...