July 14, 2014

  • WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAANDALIWA FUTARI NA IDARA YA RASILIMALI WATU YA KAMPUNI HIYO




    WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAANDALIWA FUTARI NA IDARA YA RASILIMALI WATU YA KAMPUNI HIYO

     Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
    .Meneja wa Vodacom Foundation,Grace Lyon akishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
     :Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake
     :Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake
     Mkuu wa Idara ya Mauzo na biashara wa Vodacom Tanzania Ally Z.Ally akishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
     Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Salehe Mohamed akishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
    Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika Futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali watu ya kampuni hiyo  kwa ajili ya wafanyakaziwake  ikiwa ni sehemu ya mwenzi mtukufu wa ramadhani hafla hiyo ilifanyika makao Makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.