July 09, 2014

  • RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN ATEMBELEA PEMBA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO



    RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN ATEMBELEA PEMBA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
     Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Dk.Juma Malik Akili,wakati alipotembelea maendeleo ya Ujenzi wa barabara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi,katika ziara ya Mkoa huo
     Mkurugenzi  Mtendaji  wa Kampuni ya Mecco Tanzania Abdulkadir Sheikh Bujet akitoa maelezo kwa Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipotembelea maendeleo ya Ujenzi wa Bara bara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi,katika ziara ya Mkoa huo
     Mkandarasi msimamizi wa Kampuni ya J.Burrow ya Dar es salaam Mohamed Hussein akitoa maelezo kuhusu utengenezaji wa barabara wakati Rais  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipotembelea maendeleo ya Ujenzi wa Bara bara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi,katika ziara ya Mkoa huo
     Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa maagizo kwa watendaji kampuni ya Ujenzi wa barabara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde-Wete-Wete Gando na Gando –Ukunjwi,alipotembelea kuona maendeleo ya kazi zinazofanyika katika ziara ya Mkoa huo
     Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Raha Shehia ya Ukunjwi,Jimbo la Gando Mkoa wa Kaskazini Pemba wakijiorodhesha wakati walipotakiwa Wananchi walioathirika na Nyumba zao kutokana na Ujenzi wa Barabara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde-Wete-Wete Gando na Gando –Ukunjwi,wakati Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipofanya ziara leo katika Mkoa huo
     Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi wa kijiji cha Raha Shehia ya Ukunjwi,Jimbo la Gando Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati alipofanya ziara leo katika Mkoa huo ya kutembelea  maendeleo ya Ujenzi wa Bara bara tatu za Mkoa wa Kaskazini Pemba,ikiwemo Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi
    Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa  maelekezo kwa Afisa Mdhamini wa Wizara Mindombinu na Mawasiliano Pemba   Hamadi Ahmed Baucha kuhusu malipo ya fidia ya Nyumba ya Mzee Mohamed Waziri Mbwa Mkaazi wa Kijiji cha Raka (katikati) wakati alipotembela ujenzi wa barabara tatu za Konde,-Wete,Wete Gando na Gando –Ukunjwi, Mkoa waKaskazini Pemba. 
    Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu.


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.