July 11, 2014

  • MAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA MWAKA WA TAASISI YA SEGAL FAMILY HUKO NGURDOTO- ARUSHA.



    MAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA MWAKA WA TAASISI YA SEGAL FAMILY HUKO NGURDOTO- ARUSHA.
    IMG_0059
    Mke wa Rais na Mwenyeiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akizungumza na Bwana Barry Segal, Mwanzilishi wa Taasisi ya Segal Family ya nchini Marekani wakati walipokutana kwenye mkutano wa mwaka wa Taasisi hiyo ya kimarekani uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto huko Arusha tarehe 10.7.2014.
    IMG_0074
    Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mheshimiwa Mwanaidi Maajar ambaye ni Mjumbe wa mkutano mkuu wa mwaka wa Taasisi ya Segal ya nchini Marekani. Viongozi hao walikutana huko Arusha katika hoteli ya Ngurdoto unakofanyika mkutano huo ambao Mama Salma alialikwa kuuhutubia (keynote addres) tarehe 10.7.2014.

    IMG_0086
    Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa mwaka wa Taasisi ya Segal Family uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto huko Arusha tarehe 10.7.2014.
    IMG_0089
    Baadhi ya washiriki kwenye mkutano wa mwaka wa Taasisi ya Segal Family wakisikiliza hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete kwenye ukumbi wa Ngurdoto taehe 10.7.2014.
    IMG_0090
    Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa mwaka wa Taasisi ya Segal Family uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto huko Arusha tarehe 10.7.2014.
    IMG_0104
    Baadhi ya washiriki kwenye mkutano wa mwaka wa Taasisi ya Segal Family wakisikiliza hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete kwenye ukumbi wa Ngurdoto taehe 10.7.2014.
    IMG_0112
    Mwenyekiti wa WAMA na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa mwaka wa Taasisi ya Segal Family ya nchini Marekani kwenye ukumbi wa Ngurdoto huko Arusha tarehe 10.7.2014. Waliokaa kutoka kulia ni Mwanzilishi wa Taasisi ya Segal Bwana Barry Segal akifuatiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndugu Stanslaus Mulongo.
    IMG_0132
    Mwanzilishi wa Taasisi ya Segal Family Bwana Barry Segal akimpongeza Mke wa Rais Mama Salma Kikwete mara baada ya kutoa hotuba ya kusisimua kwenye mkutano wa mwaka wa Taasisi hiyo tarehe 10.7.2014.
    PICHA NA JOHN  LUKUWI 


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.