July 01, 2014

  • Benki ya Exim yashiriki hafla ya usiku ya kila mwaka ya wadau wa AIESEC Tanzania



    Benki ya Exim yashiriki hafla ya usiku ya kila mwaka ya wadau wa AIESEC Tanzania
     Mkuu wa Kitengo cha Oparesheni wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Eugen Massawe (kushoto) akikabidhi moja ya tuzo zinazotolewa kila mwaka na AIESEC kwa Rais wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) Bw. Abubakar Ahmed (kulia) wakati hafla ya kila mwaka ya wadau wa taasisi ya wanafunzi ya AIESEC iliyofanyika jijini mwishoni mwa wiki.

     Mkuu wa Kitengo cha Oparesheni wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Eugen Massawe (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Majanga na Udhibiti wa Benki hiyo Bw. David Lusala (kulia) katika picha ya pamoja wakati hafla ya kila mwaka ya wadau wa taasisi ya wanafunzi ya AIESEC iliyofanyika jijini mwishoni mwa wiki
    Mkuu wa Kitengo cha Oparesheni wa Benki ya Exim Tanzania Bw. Eugen Massawe (kushoto) akikabidhi moja ya tuzo zinazotolewa kila mwaka na AIESEC kwa Rais wa Chuo cha Uongozi wa Fedha (IFM) Bw. Abubakar Ahmed (kulia) wakati hafla ya kila mwaka ya wadau wa taasisi ya wanafunzi ya AIESEC iliyofanyika jijini mwishoni mwa wiki. Wakishuhudia ni wanafunzi wa chuo cha IFM, Hafifa Bahfif (katikati), Said Yusuf (wapili kulia) na Erick Justice (wa kwanza kulia).


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.