July 11, 2014

  • MOTO MKUBWA WATEKETEZA VIBANDA VILIVYOPO NYUMA YA STENDI YA DALA DALA MKOANI DODOMA NA KUSABABISHA HASARA




    MOTO MKUBWA WATEKETEZA VIBANDA VILIVYOPO NYUMA YA STENDI YA DALA DALA MKOANI DODOMA NA KUSABABISHA HASARA

     Moto huo mkubwa uliteketeza mali nyingi sana za dhamani wafanya biashara wa maeneo hayo ulidumu takribani masaa 3 ambapo jeshi la zimamoto pamoja na wananchi walifanya jitahada za kuudhibiti moto huo ili usiweze kuendele, huku jeshi la polisi likiimarisha ulinzi wa kutosha kutokana na vibaka kuvamia eneo hilo.


    Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo eneo hilo walidai chanzo cha moto huo kilionekana kutokea kwenye nguzo ya umeme iliyokuwa maeneo hayo ambapo inasemekana ndio sababu kubwa ya moto huo.
     












    CDT:BOSS NGASA TZ


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.