July 10, 2014

  • ANGALIA PICHA KIJANA AGONGWA NA PIKIPIKI




    ANGALIA PICHA KIJANA AGONGWA NA PIKIPIKI
     Kijana aliyetambuliwa kwa jina Moja la Ally jana majira ya saa 2 Usiku aligongwa na pikipiki alipokuwa akivuka barabara kuu ya Morogoro-lringa eneo la Mriti.Ally akiwa katikati ya barabara ya Morogro-lringa baada ya Kutokea ajali kugongwa na pikipiki 
     Askari wa kikosi cha Usalama barabara wakiwasili eneo la tukio Tayari kutoa msaada. 
    Habari zilizopatikana eneo la tukio zinadai  baada ya dereva huyo wa pikipiki kumgonga  alikimbia na kumuacha majeruhi huyo akigaaga kwenye barabara hiyo ambapo baadhi ya wananchi walifika eneo la tukio na kumsogeza pembeni asiendele kugongwa na magari mengine
     Ally akiangua kilio baada ya kupatwa na maumivu makali
     Akiingizwa kwenye gari kuelekea hospital ya Rufaa ya mkoa wa Morogoro

    "  alikuwa akivuka barabra kureje nyumbani kwake Chamwino kwa bahati mbaya kuna boda boda litoka upande  wa Msamvu na kumgonga hata hivyo boda boda hiyo baada ya kumgonga alikimbia  Picha na Dustan Shekidele,Morogoro


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.