Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

December 31, 2014

  • SERIKALI YAWATAKA WAKAZI WA ARUSHA KUDUMISHA AMANI NA MSHIKAMANO

    SERIKALI YAWATAKA WAKAZI WA ARUSHA KUDUMISHA AMANI NA MSHIKAMANO Mahmoud Ahmad Arusha Serikali Mkoani Arusha Imewataka wakazi wa Mkoa huo Kuhakikisha kuwa wanaendelea kudumisha Amani,Umoja na Mshikamano sanjari na kujitolea katika kufanikisha shughuli za kimaendeleo. Kauli hiyo imetolewa na katibu Tawala wa mkoa huu Addo Mapunda wakati akiongea...
  • December 28, 2014

  • BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YATOKEA SINGIDA MCHANA HUU KATI YA BASI LA ZUBERI NA COSTA...AMBAPO KATIKA COSTA HAKUNA ALIYEPONA

    BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YATOKEA SINGIDA MCHANA HUU KATI YA BASI LA ZUBERI NA COSTA...AMBAPO KATIKA COSTA HAKUNA ALIYEPONA Bus la Zuberi No. 3 Limegongana uso kwa uso na costa. Hakuna aliyetoka kwenye costa na imekwisha  nyang'anyang'a. Hali hii imepelekea waliokua kwenye magari mengine kushuka na  kuokoa majeruhi....
  • MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 28.12.2O14

    MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 28.12.2O14 . . . . . . . . . . . . . . N ...
  • December 26, 2014

  • THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY /IJUMAA 26/12/2014 LIVE!!

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY /IJUMAA 26/12/2014 LIVE!! . . . . . . . . . . . . . . . . . . Ni ...
  • HATIMAYE TANZANIA TUMEANZA KUPATA MISAADA YA VIFAA VYA UPASUAJI TEZI DUME

    HATIMAYE TANZANIA TUMEANZA KUPATA MISAADA YA VIFAA VYA UPASUAJI TEZI DUME Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea vifaa tiba vya upasuaji  wa  tezi dume na magonjwa mengine kutoka kwa Misri vyenye thamani ya Sh. milioni 850. Mkurugenzi wa Wauguzi MNH, Agnes Mtawa, aliyasema hayo alipokuwa akipokea msaada wa...
  • AJALI YAUWA WAWILI NZEGA TABORA

    AJALI YAUWA WAWILI NZEGA TABORA  Ajali iliyohusisha magari mawili imesababisha waliokuwa kwenye gari dogo kupoteza maisha maeneo ya Nzega, inaasemekana chanzo cha ajali ni speed ya gari dogo na mvua kubwa iliyokuwa inanyesha eneo hilo. ...
  • FROLA MBASHA: DVD MPYA YA NIPE NGUVU YA KUSHIDA SASA IKO MADUKANI

    Mungu amekuwa mwema kwangu tangia nilipomkubali kuwa mwokozi wangu na nguzo yangu. Nimeona Mungu akinishindia na magumu ninayopitia na niliyoyapitia katika maisha yangu. Nimeona Mungu huyu unayemwabudu kila siku akinivusha na kunitia moyo pale ninapoona akili yangukufikiri jinsi ya kutatua yale yaliyombele yangu. Mungu huyu ni waajabu kwangu,...
  • December 25, 2014

  • Ibada ya Krismasi – Leo Alhamisi Disemba 25, 2014 Saa 3:30 Alasiri Usikose!

    Ibada ya Krismasi – Leo Alhamisi Disemba 25, 2014 Saa 3:30 Alasiri Usikose! ...
  • December 24, 2014

  • MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 24.12.2O14

    MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 24.12.2O14 ...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.