Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

December 31, 2014

  • SERIKALI YAWATAKA WAKAZI WA ARUSHA KUDUMISHA AMANI NA MSHIKAMANO



    SERIKALI YAWATAKA WAKAZI WA ARUSHA KUDUMISHA AMANI NA MSHIKAMANO
    picha (2)
    Mahmoud Ahmad Arusha
    Serikali Mkoani Arusha Imewataka wakazi wa Mkoa huo Kuhakikisha kuwa wanaendelea kudumisha Amani,Umoja na Mshikamano sanjari na kujitolea katika kufanikisha shughuli za kimaendeleo.
    Kauli hiyo imetolewa na katibu Tawala wa mkoa huu Addo Mapunda wakati akiongea na wanahabari  ofisini kwake ambapo alisisitiza
    wakazi wa mkoa huu  kufuata sheria kanuni na taratibu za nchi ikwemo usafi wa mazingira.
    Aliwatahadharisha wananchi hao kutofuata mkumbo na kujihusisha na ushabiki wa baadhi ya vyama vya siasa ambavyo vimekuwa vikiendesha siasa za chuki,udini na uhasama jambo ambalo limekuwa likiwagawa wananchi katika makundi na kupelekea uwepo wa vitendo vya uvunjifu wa amani.
    "napenda kuwakukumbusha wananchi wa mkoa wa Arusha kuwa suala la maendeleo sio la Serikali pekee bali ni jukumu la kila mwananchi kuhakikisha kuwa nashiriki kikamilifu katika shughuli za kujiletea maendeleo"alisema Mapunda.
    Akizungumzia shule za Sekondari za Kata amesema kuwa Serikali imejipanga kikamilifu na tayari umaliziaji wa majengo ya maabara na vyumba vya madarasa uko katika hatua za mwisho kabisa kukamilika na kuwataka wananchi kuepukana na dhana potofu kuwa shule za Kata hazina viwango vizuri vya ufaulu wa wanafunzi.
    Mapunda amesema kuwa Mkoa wake umejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa hakuna mwanafunzi hata mmoja aliyechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani ambaye atakosa kujiunga na shule kwa uhaba wa vyumba vya madarasa kwani mkoa umejipanga kikamilifu kukabiliana na changamoto hiyo.
    Kuhusu suala la uchaguzi  wa serikali za mitaa alisema kuwa anashukuru uchaguzi huo umekwenda kwa mafanikio na kuwa wananchi walipewa fursa zxa kuwachaguwa viongozi wanaowataka.
    "Kikubwa ni wananchi kupewa fursa za kuwachagua viongozi
    wanowataka bila ya kuwepo shinikizo hali ambayo imekuwa ikichangia uvunjifu wa Amani ndio maana umeona mkoa huu hauna matukio ya uvunjifu wa amani kama ilivyokuwa kabla"


  • December 28, 2014

  • BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YATOKEA SINGIDA MCHANA HUU KATI YA BASI LA ZUBERI NA COSTA...AMBAPO KATIKA COSTA HAKUNA ALIYEPONA



    BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YATOKEA SINGIDA MCHANA HUU KATI YA BASI LA ZUBERI NA COSTA...AMBAPO KATIKA COSTA HAKUNA ALIYEPONA

    Bus la Zuberi No. 3 Limegongana uso kwa uso na costa. Hakuna aliyetoka kwenye costa na imekwisha  nyang'anyang'a. Hali hii imepelekea waliokua kwenye magari mengine kushuka na  kuokoa majeruhi. Ni Mbele kidogo ya singida mjini.
     



     Yaani costa imeisha na imeanguka miguu juu. Bado kuna abiria wapo chini ya hiyo costa. Ni ajari mbaya sana aisee.


  • MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 28.12.2O14


    MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 28.12.2O14


    .

    .

    .



    .

    .

    .

    .

    .

    .

    .

    .

    .

    .

    .




    N


  • December 26, 2014

  • THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY /IJUMAA 26/12/2014 LIVE!!


    THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY /IJUMAA 26/12/2014 LIVE!!
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    Ni


  • HATIMAYE TANZANIA TUMEANZA KUPATA MISAADA YA VIFAA VYA UPASUAJI TEZI DUME


    HATIMAYE TANZANIA TUMEANZA KUPATA MISAADA YA VIFAA VYA UPASUAJI TEZI DUME


    Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea vifaa tiba vya upasuaji  wa  tezi dume na magonjwa mengine kutoka kwa Misri vyenye thamani ya Sh. milioni 850.

    Mkurugenzi wa Wauguzi MNH, Agnes Mtawa, aliyasema hayo alipokuwa akipokea msaada wa vifaa hivyo, jijini Dar es Salaam jana.
    Alisema huduma ya upasuaji wa mfumo wa mkojo ambao kitaalamu unafahamika kuwa ni Urolojia hutolewa katika Hospitali ya MNH na Hospitali ya Rufaa ya KCMC iliyopo mkoani Kilimanjaro.
    "Kwa niaba ya Serikali na Watanzania naishukuru Serikali ya Misri kwa msaada huu wa vifaa tiba, hivyo vifaa hivi vitasaidia kutoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa kwa kutumia hadubini (Endoscopy).

    Mtawa aliomba Serikali ya Misri kuwasomesha wataalamu katika eneo matumizi ya hadubini ili kutoa  huduma za upasuaji kwa kiwango kinachotakiwa.

    Mkuu wa kitengo cha upasuaji MNH, Dk. Ryuba Nyamasongoro, alisema kuwa asilimia 60 ya wagonjwa wanaohitaji upasuaji zaidi ni wenye matatizo kwenye mfumo wa mkojo.

    Alisema huduma ya Urolojia ilianzishwa 2008 ikiwa chini ya Idara ya upasuaji kwa lengo la kuboresha huduma hiyo kwa wananchi, huduma ambazo kitengo hicho kinatoa ni pamoja na upasuaji wa tezi dume, kuziba kwa njia ya mkojo.

    "Tunashukuru kupata vifaa  hivyo kwa kuwa vitasaidia upungufu uliojitokeza kwa muda mrefu kuwa na kifaa cha kuondolea mawe kwenye figo," alisema.

    Naye Mwanadiplomasia wa Ubalozi wa Misri nchini, Ahmed Rahim, alisema kuwa Serikali yake itaendelea kushirikiana na Tanzania kwa kutoa misaada mbalimbali ili kuendeleza uhusiano.
    CHANZO: NIPASHE


  • AJALI YAUWA WAWILI NZEGA TABORA




    AJALI YAUWA WAWILI NZEGA TABORA
     Ajali iliyohusisha magari mawili imesababisha waliokuwa kwenye gari dogo kupoteza maisha maeneo ya Nzega, inaasemekana chanzo cha ajali ni speed ya gari dogo na mvua kubwa iliyokuwa inanyesha eneo hilo.



  • FROLA MBASHA: DVD MPYA YA NIPE NGUVU YA KUSHIDA SASA IKO MADUKANI

    Mungu amekuwa mwema kwangu tangia nilipomkubali kuwa mwokozi wangu na nguzo yangu. Nimeona Mungu akinishindia na magumu ninayopitia na niliyoyapitia katika maisha yangu. Nimeona Mungu huyu unayemwabudu kila siku akinivusha na kunitia moyo pale ninapoona akili yangukufikiri jinsi ya kutatua yale yaliyombele yangu. Mungu huyu ni waajabu kwangu, kaniwezesha katika uaandaji wa albamu hii mpya ya "NIPE NGUVU YA KUSHINDA". Nazidi kumshangaa Mungu huruma zake na fadhili zake kwangu - Flora Mbasha

  • December 25, 2014

  • Ibada ya Krismasi – Leo Alhamisi Disemba 25, 2014 Saa 3:30 Alasiri Usikose!


    Ibada ya Krismasi – Leo Alhamisi Disemba 25, 2014 Saa 3:30 Alasiri Usikose!



  • December 24, 2014

  • MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 24.12.2O14


    MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 24.12.2O14
    DSC07558

    DSC07559
    DSC07553
    DSC07554
    .
    DSC07552
    DSC07562
    DSC07563
    DSC07543

    DSC07544
    DSC07545
    DSC07547
    DSC07548
    DSC07550

    DSC07555
    DSC07556
    DSC07560
    DSC07561
    DSC07564
    DSC07565
    DSC07566
    DSC07567


  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.