Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

November 30, 2014

  • HABARI MBAYA KWA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED LICHA YA KUSHINDA KWA KISHINDO JANA!

    HABARI MBAYA KWA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED LICHA YA KUSHINDA KWA KISHINDO JANA! Unapozungumzia suala la majeraha ya wachezaji bila shaka mashabiki wa Manchester United wanapata homa ya ghafla . Hii ni kwa sababu timu hii imekuwa na orodha isiyoisha ya wachezaji wenye majeraha . Mbaya zaidi ni...
  • November 29, 2014

  • Habari kwa Kina Kuhusu Vurugu Zilizoibuka Jana Bungeni na kupelekea Bunge Kuvunjika

    Habari kwa Kina Kuhusu Vurugu Zilizoibuka Jana Bungeni na kupelekea Bunge Kuvunjika Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana usiku kilivunjika baada ya vurugu kutawala ukumbini humo. Vurugu hizo zilianza saa 04:42 usiku hadi saa 04:49 usiku wakati Spika Anne Makinda alipolazimika kuahirisha Bunge hadi leo saa tatu asubuhi....
  • November 28, 2014

  • MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 28.11.2014

    MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 28.11.2014 . . . . . . ...
  • November 27, 2014

  • AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO ASUBUHI ENEO LA KONA KALI YA MKANYAGENI TANGA

    INASEMEKANA WATU WAMEJERUHIWA  KWENYE AJALI ILIYOTOKEA ENEO LA KONA KALI YA MKANYAGENI IKIHUSISHA GARI YA ABIRIA AINA YA COSTA ILIYOGONGANA USO KWA USO NA SCANIA SEMITRELA KWA MUJIBU WA MASHUHUDA WA TUKIO HILO WANASEMA KATIKA AJALI HIYO COSTA IMEKATIKA KATI KWA KATI NA WATU WALIOJERUHIWA WAPO KWENYE COSTA HIYO...
  • November 26, 2014

  • WARUNDI KORTINI KWA MENO 18 YA TEMBO

    WARUNDI KORTINI KWA MENO 18 YA TEMBO RAIA watatu wa Burundi akiwemo mwanamke wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu mkazi wa Wilaya ya Morogoro, wakikabiliwa na mashitaka matatu ya kuhujumu uchumi baada ya kukamatwa na meno ya tembo 18, na mikia mitano ya twiga, vyote vikiwa na thamani...
  • VYUO VYA TANZANIA VYAFELI KATIKA MJADALA

    VYUO VYA TANZANIA VYAFELI KATIKA MJADALA Chuo kikuu cha Ruaha nchini Tanzania ni miongoni mwa vyuo vitatu vikuu vilivyofeli katika mjadala wa kimataifa uliofanyika katika mahakama maalum ya ICTR mjini Arusha. Vyuo vikuu vitatu vya Tanzania ambavyo vilishiriki katika mashindano ya mjadala wa Afrika kuhusu Sheria za kimataifa...
  • MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 26.11.2O14

    MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 26.11.2O14 . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.