February 27, 2016

  • Wanamuziki wajitokeza kwa wingi kumzika gwiji Kassim Mapili


    Wanamuziki wajitokeza kwa wingi kumzika gwiji Kassim Mapili
     Mwanahabari nguli Hemedi Kimwanga (kushoto waliosimama) akipeana pole na wanamuziki mbalimbali wakongwe wakati wa msiba wa Mzee Kassim Mapili Magomeni Mapipa jijini Dar es salaam leo

     Wanamuziki nyota wa kike walijitokeza kwa wingi katika msiba huu. Hapo kuna Nyota Abdallah, Anna Mwaole, Kida Waziri, Lwiza Mbuttu, Asha Salvador na wengineo wengi
     Kanku Kelly na Papaa Juma Mbizo wakimuaga Kassim Mapili
    Banana Zorro, Ben Kinyaia, Mrisho Mpoto na mdau wa muziki 
     Mzee Makassy na wakongwe wenzie walikuwepo
     Kanku Kelly na Delphine Munumba wakiongea na kaka Emmanuel Mpangala msibani
     Mwakilishi kutoka Wiziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo akitoa rambirambi za serikali 
     Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
      Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
      Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akimfariji mtoto wa marehemu
      Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akipeana mikono na mwanamuziki mkongwe Mjusi Semboja huku akiongea na Mzee Makassy na wanamuziki wengine
     Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na mchambuzi wa muziki wa dansi mahiri Zomboko na mdau wa muziki Hassan 


  • 0 comments:

    Post a Comment

    Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.