Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

February 27, 2016

  • VURUGU ZA MACHINGA ZAZUWA TAFRANI JIJINI MBEYA....

    Baadhi ya Vibanda vya Biashara vya Wafanyabiashara Ndogondogo Maarufu kama Machinga Vikiteketea kwa Moto mara baada ya Wafanya Biashara hao wa Eneo la Sido na Stendi ya Kabwe Jijini Mbeya kuanzisha Vurugu Baada ya Kubomolewa Vibanda vyao vya Biashara katika maeneo waliyokuwa wakifanyia Biashara Zao. Jitihada za kuzima...
  • BENKI YA NMB MBEYA YAZINDUA KITUO CHA BIASHARA (NMB BUSINESS CENTER)

    BENKI YA NMB MBEYA YAZINDUA KITUO CHA BIASHARA (NMB BUSINESS CENTER) Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa NMB Business Center Mkoa wa Mbeya akizungumza na wafanyabiashara katika uzinduzi huo Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bi Ineke Bussemaker akiwakaribisha wafanyabiashara waliofika...
  • TANESCO Yapeleka Maombi ya Kupandisha Bei Ya Umeme

    TANESCO Yapeleka Maombi ya Kupandisha Bei Ya Umeme SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limepeleka maombi kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), kuomba kupandisha bei ya nishati hiyo, kinyume na matakwa ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ya kushusha bei hiyo.  ...
  • Adhabu saba kwa mawaziri 5 waliokaidi agizo la maadili

    Adhabu saba kwa mawaziri 5 waliokaidi agizo la maadili Pamoja na mawaziri wa tano wa Rais John Magufuli kuwasilisha fomu za tamko la rasilimali na madeni na kiapo cha uadilifu kukwepa kihunzi cha kutumbuliwa majipu na bosi wao, vigogo hao wanabanwa na adhabu saba kwa kuvunja Sheria ya...
  • Watorosha makontena wasalimisha mali za Bn 6/-

    Watorosha makontena wasalimisha mali za Bn 6/- Kampuni ya udalali ya Yono, imesema makampuni na wafanyabiashara wanaodaiwa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) baada ya kutorosha makontena kwenye Bandari Kavu ya Azam mwaka jana, wamekabidhi mali  zinazokadiriwa kufikia Sh. Bn 6.   Mali hizo zitauzwa ili kulipa...
  • WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI

    WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mh. January Makamba (kushoto) akiongea na Balozi wa Kuwait Bw. Jasem Al-Najem, Balozi huyo alimtembelea Mh. Makamba Ofisini kwake leo Mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam kwa lengo...
  • Tanzania kunufaika na Dola Bilioni 60 za China sekta ya Nishati

    Tanzania kunufaika na Dola Bilioni 60 za China sekta ya Nishati Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam, Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imeitaja nchi ya Tanzania kuwa na nafasi kubwa ya kunufaika na fedha kiasi cha Dola Bilioni 60 kupitia uwekezaji sekta ya nishati, fedha zilizoahidiwa...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.