Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

December 09, 2016

  • Aubemeyang na kila dalili za kwenda Real Madrid.

    Real Madrid ina uwezo wa kusajili karibia wachezaji wote kwa gharama yoyote ambayo ni reasonable kwa wachezaji nyota duniani kwa sasa hivi. Habari za Aubameyang kujiunga na Real Madrid zimeongelewa sana na kwa kiasi kikubwa mchezaji mwenyewe anaendelea kuzibariki siku hadi siku. Baada ya mechi ya UEFA, Aubemeyang...
  • October 15, 2016

  • VITENDO VYA KISHIRIKINA DHIDI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI VYAMKERA JAFO

    VITENDO VYA KISHIRIKINA DHIDI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI VYAMKERA JAFO Naibu Waziri Ofisi ya Rais , Tawala za mikoa na serikali za mitaa(Tamisemi), Selemani Jafo, akiwa na Mkuu wa wilaya ya Igunga na viongozi mbalimbali akipewa taarifa juu ya ujenzi wa nyumba za walimu, madarasa na vyoo vya...
  • March 14, 2016

  • MKAPA ANVYOKUBALIKA KUREJESHA AMANI BURUNDI

    MKAPA ANVYOKUBALIKA KUREJESHA AMANI BURUNDI Bujumbura, Burundi. Burundi imeunga mkono kuteuliwa mpatanishi mpya kwa ajili ya kujaribu kutatua mgogoro wa nchi hiyo ambao umesababisha mamia ya raia kufa huku wengine wakikimbilia nchi jirani na kuishi kwenye kambi za wakimbizi. Chama tawala cha CNDD-FDD kimesema kuwa kuteuliwa kwa rais...
  • March 06, 2016

  • WANAWAKE WAHIMIZWA KUSHIRIKI KWENYE MICHEZO

    WANAWAKE WAHIMIZWA KUSHIRIKI KWENYE MICHEZO Na Fatma Salum  (MAELEZO)  Wanawake nchini wamehimizwa kushiriki kwenye michezo mbalimbali kuanzia ngazi ya vijiji hadi taifa ili kuboresha afya zao na kujiongezea kipato. Hayo yamesemwa na Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge Kazi Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama leo jijini...
  • BREAKING NYUZZZZ.....: BALOZI KIJAZI ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI, BALOZI SEFUE KUPANGIWA KAZI NYINGINE

    Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi John William Kijazi. ...
  • March 05, 2016

  • MAMBO YA TANGA HAYO! KULE MAPENZI YALIZALIWA!!

    MAMBO YA TANGA HAYO! KULE MAPENZI YALIZALIWA!! ...
  • Mbowe Kuzungumza na Taifa Kupitia Waandishi wa Habari Makao Makuu CHADEMA Leo

    Mbowe Kuzungumza na Taifa Kupitia Waandishi wa Habari Makao Makuu CHADEMA Leo Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe leo atazungumza na Taifa kupitia mkutano wa waandishi wa Habari. Mkutano huo wa waandishi utafanyika saa 6 mchana makao makuu Kinondoni Ufipa. Kiongozi huyo mkuu wa upinzani nchini anatarajiwa kutoa...
  • Madiwani wa UKAWA Wavamia Ofisi ya Halmashauri ya Jiji La Dar Wakitaka Kuelezwa ni Lini Uchaguzi wa Meya Utafanyika

    Madiwani wa UKAWA Wavamia Ofisi ya Halmashauri ya Jiji La Dar Wakitaka Kuelezwa ni Lini Uchaguzi wa Meya Utafanyika Zaidi ya madiwani 20 wanaotokana na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walivamia ofisi za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kumshinikiza Kaimu Mkurugenzi wake,...
  • Jamii Media yafungua kesi Mahakama Kuu kupinga vifungu Sheria Makosa ya Mtandao

    Jamii Media yafungua kesi Mahakama Kuu kupinga vifungu Sheria Makosa ya Mtandao  Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence M. Melo (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kufungua kesi Mahakama Kuu Dar es Salaam kutaka Sheria ya Makosa ya Mtandao, kifungu cha 32 na 38 viangaliwe...
  • Maalim Seif awasili Zanzibar

    Maalim Seif awasili Zanzibar leo hii    Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili Zanzibar alasiri YA LEO akitokea nchini India na Oman. Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege alilakiwa na viongozi kadhaa wa CUF na baadaye kuelekea kwenye makaazi yake, Mbweni.    ...
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA ITILIMA MKOANI SIMIYU

    WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA ITILIMA MKOANI SIMIYU Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Maabara katika shule ya Sekondari ya Budalabugija wilayani Itilima akiwa katika ziara ya mkoa wa Simiyu Machi 4, 2016.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani...
  • SUMATRA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI MADEREVA NA MAKONDAKTA WOTE WATAKAOWATOZA ABIRIA NAULI KUBWA TOFAUTI NA ZILIZOPANGWA

    SUMATRA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI MADEREVA NA MAKONDAKTA WOTE WATAKAOWATOZA ABIRIA NAULI KUBWA TOFAUTI NA ZILIZOPANGWA Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi Usafiri wa Majini na Nchi Kavu  (SUMATRA) Mkoa wa Kilimanjaro  kuwafikisha mahakamani madereva wote na makondakta wanaowatoza abiria nauli kubwa tofauti na zilizopangwa na ofisi hiyo. Hayo yamesemwa leo na Kaimu...
  • March 04, 2016

  • MENGINE KUTOKA KWA "KIM JONG-UN" RAIS WA KOREA KASKAZINI YAKO HAPA

    MENGINE KUTOKA KWA "KIM JONG-UN" RAIS WA KOREA KASKAZINI YAKO HAPA Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amevitaka vikosi vya taifa hilo vijiandae kutumia silaha za nyuklia "wakati wowote", vyombo vya habari vya serikali nchini humo vimesema. Ameambia viongozi wa kijeshi kwamba North Korea itabadilisha hali yake ya...
  • BREAKING NEWZZZ....KIWANDA CHA RANGI CHA SADOLINI CHA TAZARA KINAUNGUA MOTO MUDA HUU

    BREAKING NEWZZZ....KIWANDA CHA RANGI CHA SADOLINI CHA TAZARA KINAUNGUA MOTO MUDA HUU ...
  • Serikali yamkabidhi Cheka Cheti cha pongezi kutokana na ushindi wake

    Serikali yamkabidhi Cheka Cheti cha pongezi kutokana na ushindi wake Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye(kulia) akiwa ameambatana na Bondia Francis Cheka (wapili kulia) alipotembelea Wizarani leo jijini Dar es Salaam na Serikali imemkabidhi Cheti cha pongezi. Kushoto ni Rais wa Chama cha...
  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.