Real Madrid ina uwezo wa kusajili karibia wachezaji wote kwa gharama yoyote ambayo ni reasonable kwa wachezaji nyota duniani kwa sasa hivi. Habari za Aubameyang kujiunga na Real Madrid zimeongelewa sana na kwa kiasi kikubwa mchezaji mwenyewe anaendelea kuzibariki siku hadi siku. Baada ya mechi ya UEFA, Aubemeyang...