KAMATI YA BIASHARA YAELEZEA INAVYOSAIDIA WASAFIRISHAJI WA MIZIGO Mjumbe wa kamati ya kuchunguza vikwazo visivyo vya kiforodha, Jimmy Mwalugelo (katikati) akizungumza. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Real Insurance, Stephen Okundi na kushoto ni SACP Kaimu Kamanda wa Trafiki nchini SACP Johansen Kahatano. Mwalugelo akionesha vibao vitakavyoweka katika magari...