
VIDEO: TIZAMA JINSI NAPE ALIVYOKWEPA KUWATAJA WAGOMBEA WATANO WALIOTEULIWA NA kikao cha Kamati kuu. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akiongea na waaandishi wa habari mara baada ya kutoka kikao cha Kamati kuu. Mhe. Emmanuel Nchimbi akitangaza mbele ya wanahabari kutangaza kutoridhishwa...