TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI

Mtoto huyo ukiwa kando muda mchache baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Double Cabin ambayo ilikimbia baada ya kufanya tukio hilo

Baadhi ya wasamalia wema wakiwa wamefika eneo la tukio kwa ajili ya kutoa msaada kwa mtoto huyo


Baadhi ya wasamalia wema wakimchukua mtoto huyo kwa ajili ya kuupeleka hospitali


Mashuhuda
Tukio hili limetokea mida ya saa Tano asubuhi leo ambapo chanzo cha ajali hiyo ni Mwendo kasi wa Gari hilo ambapo halikuchukua tahadhari na kusababisha kugongwa kwa Mtoto huyo
Picha na Mbeya Yetu
0 comments:
Post a Comment