Tunakujali, Tunakuthamini na Pia Tunakupenda!

April 07, 2015

  • 10 FACTS YOU DIDN'T KNOW ABOUT MOHAMMED MOHAMUD THE MASTER MIND OF GARISSA UNIVERSITY ATTACKS THAT WILL SHOCK YOU!!



    10 FACTS YOU DIDN'T KNOW ABOUT MOHAMMED MOHAMUD THE MASTER MIND OF GARISSA UNIVERSITY ATTACKS THAT WILL SHOCK YOU!!

     

    Mohammed Mohamud is them most wanted man in Kenya ,he is our number one enemy having allegedly been involved in master minding many terrorist attacks in Kenya and has a result many Kenyans have lost their loved ones because of his hatred and terrorist acts.He is the man alleged to be behind the Garissa University attacks that claimed more than 148 lives. His name has been circulating all over the social media, especially after the Kenyan interior ministry placed a bounty on his head along with other terror suspects. Mohamed Mohamud goes by several other names which include Dulyadin, Gamadhere and Mohammed Kuno. Although he is not relatively new to the limelight here are 10 things you probably didn't know about him. 



    1. His family 

    Interestingly, Dulyadin Gamadhere is said to have come from a family of sympathizers of the Somalia-based group. He has two siblings both of whom joined the al-Shabaab militia group. 
    2. His mother 

    Gamadhere's mother has been nicknamed "The Iron Lady" for reasons that remain unclear. 
    3. Marriage 

    According to US intelligence reports, Gamadhere is a Kenyan National who has three wives, two of whom are from Garissa. 
    4. He was a simple teacher 

    According to the star newspaper Dulyadin once worked as a teacher at a Madrassa religious school, under the name of Sheikh Mahamad Afte. 
    5. When he joined Al-Shabaab 
    He is believed to have joined the Al-Shabaab in 2006 when it was formed. The group was formed from the remnants of the defeated Islamic Courts Union movement in Somalia. 

    6. Most senior lieutenant 

    Gamadhere is now the current al-Shabaab military leader for the Juba province in Somalia. He is tasked with the role of leading tactical attacks in Kenya and bordering regions. 
    7. Sibling shoots himself 
    One of Gamadhere's siblings is reported to have shot himself with his own gun while training new recruits, the other is believed to be actively involved in the militia group. 
    8. His followers and network 
    He is credited with the extensive buildup of al-Shabaab sympathizers and operatives in war-torn Somalia and Kenya. His network of followers is believed to be strongest at the Dadaab refugee camp in Kenya. Ironically, the refugee camp houses people fleeing famine, war and drought in Somalia. 
    9. Most wanted man in Kenya 
    Gamadhere is the subject of a bounty of 20 million Kenyan shillings for masterminding the Garissa University that claimed the lives of at least 148 people. 
    10. Other attacks 

    Before the 20 million shilling bounty a 2 million bounty had been placed on his head for carrying out other similar attacks on Kenyan soil. These attacks included the one which was carried out on a bus near the town of Mandera last year which claimed the lives of 28 innocent non-Muslims.


  • HITMA YA MAREHEMU MZEE KARUME YASOMWA LEO ZANZIBAR



    HITMA YA MAREHEMU MZEE KARUME YASOMWA LEO ZANZIBAR
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Vuai Ali Vuai maara alipowasili katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja kubhudhuria katika Hitma ya Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Iliyofanyika leo asubuhi.
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein(katikati) akiwaongoza Viongozi mbali mbali pamoja na Wananchi katika Kisomo cha hitma ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja Iliyofanyika leo asubuhi.
    Baadhi ya Viongozo wakisoma hitma akiwemo aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume(kushoto) Balozi Ali Karume katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja Iliyofanyika leo asubuhi.
    Waislamu na wananchi mbali mbali wakiwa katika kisomo cha hitma ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja Iliyofanyika leo asubuhi.
    Akinamama wa Mitaa mbali mbali ya Mji wa Unguja wakiwa katika kisomo cha Hitma ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja Iliyofanyika leo asubuhi.
    Mke wa Rais Zanzibar Mama Mwanamwema Shein(katikati) akiwa na Mama Shadya Karume Mke wa Rais Mstaafu wa Zanzibar(wa tatu kulia) Mama Fatma Karume (wa pili kulia) Mke wa Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mama Zakia Bilali (kushoto) Bi Khadija Aboud (wa pili kushoto)Mjumbe wa Kamati Kuu wa CCM,katika hitma ya kumuombea dua Rais wa kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,iliyosomwa leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja.
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akiweka shada la mauwa katika kaburi la Marehemu Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume,baada ya kisomo cha hitma na dua iliyoombwa na wananchi wa Zanzibar katika Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo asubuhi.
    Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilali akiweka shada la mauwa katika kaburi la Marehemu Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume,baada ya kisomo cha hitma na dua iliyoombwa na wananchi wa Zanzibar katika Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo asubuhi.
    Muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Hamid Ameir akiweka shada la mauwa katika kaburi la Marehemu Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume,baada ya kisomo cha hitma na dua iliyoombwa na wananchi wa Zanzibar katika Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo asubuhi.
    Balozi Ali Karume (Mtototo) kwa niaba ya familia akiweka shada la mauwa katika kaburi la Marehemu Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume,baada ya kisomo cha hitma na dua iliyoombwa na wananchi wa Zanzibar katika Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo asubuhi.
    Wake wa Viongozi wakiitikia dua iliyoombwa katika kaburi la Marehemu MzeeAbeid Amani Karume baada ya hitma iliyosomwa leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja na kuhudhuriwa na waislamu mbali mbali Mjni na Vijijini.
    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongizi wengine wakiitikia Dua iliyoombwa na Mufti Mkuu wa zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia) baada ya kisomo cha hitma iliyosomwa leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja.
    Baba Askofu wa Anglikan wa Kanisa la Mkunazini Michael Hafidh akiomba dua wakati Viongozi mbali mbali waliofika katika kaburi la aliyekua Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,baada ya kisomo cha hitma iliyosomwa leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja.(Picha na Ikulu, Zanzibar.)

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein leo ameongoza hitma ya kumuombea dua Rais wa Kwanza wa Zanzibar Marehemu mzee Abeid Amani Karume, iliyofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Zanzibar.

    Hitma hiyo, ilihudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Kharib Bilal, Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Sita, Mhe. Amani Abeid Karume, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd.

    Viongozi wengine walihudhuria katika hitma hiyo ni  Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabhi, Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji, Sheikh wa Mkoa wa Dar-es- Salam Sheikh Mussa Salum na viongozi wengineo.

    Wengine ni viongozi wa serikali zote mbili na viongozi wastaafu, viongozi wa vyama vya siasa, Masheikh kutoka Zanzibar na Tanzania Bara, Wabunge na Wawakilishi, wananchi kutoka sehemu mbali mbali pamoja na Mabalozi wadogo waliopo hapa Zanzibar.

    Hitma hiyo ya kumuombea dua Marehemu Mzee Abeid Amani Karume pia ni miongoni mwa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa ilitanguliwa na Qur-an tukufu, iliyosomwa na Ustadh Sharif Muhidin na kuongozwa na Sheikh Jafar kutoka Masjid Noor Mohammad,iliopo Kwa Mchina Mwanzo.

    Mara baada ya hitma hiyo, Sheikh Mkoa wa Dar-es-Salaam, Sheikh Mussa Salum alitoa mawaidha na kumuelezea marehemu mzee Abeid Amani Karume kuwa ni kiongozi aliyepigania maendeleo ya wananchi wa Zanzibar na kumuombea MwenyeziMungu ampe makaazi mema Peponi.

    Akieleza kuhuhu umuhimu wa siku hii, Sheikh Mussa alisema kuwa siku ya leo ni muhimu sana kwa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla kwa lengo la kumuombea dua Marehemu Karume pamoja na mashujaa wengine.

    Aidha, Sheikh Mussa alitumia fursa hiyo kukumbusha juu ya umauti na kusisitiza kuwa ni  jambo ambalo litafika kwa kila kiumbe alichokiumba MwenyeziMungu na kusisitiza kuwa ni vizuri mwanaadamu akakumbuka asili yake na hatma yake.

    "Kifo ni onyo, kifo ni mawaidha na kifo ni mazingatio...kutokana na hali hiyo kuna kila sababu ya kutenda mema, kuwa na mahaba, kuwa na udugu wa kiimani.. huku tukiendelea kumuombea dua mzee wetu huyu kwani yeye ameonja umauti kama ilivyoeleza Qur-an ikiwa na maana kuwa roho yake bado iko hai" alisema Sheikh Mussa.

    Pamoja na hayo, Sheikh Mussa katika kutilia mkazo suala zima la udugu wa kiimani alitoa pongezi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein kwa kuendelea kusimamia Serikali ya Mapindui ya Zanzibar yenye muundo wa Umoja wa Kitaifa ambayo imewafanya Wazanzibari kuimarisha udugu wao na kuwa kitu kimoja kama Uislamu unavyotaka.

    Alisema kuwa hatua hiyo imezidisha umoja sambamba na kuimarisha amani na utulivu uliopo na kuifanya Zanzibar kuwa tulivu na kusisitiza kuwa huo ndio udugu wa kiimani.

    Baada ya kisomo hicho cha hitma ambacho hufanyika kila mwaka inapofika tarehe 7, Aprili, viongozi hao na wananchi waliohudhuria katika hitma hiyo walimuombea dua, marehemu mzee Abeid Karume katika kaburi lake lililopo pembezoni mwa afisi hiyo ya CCM Kisiwandui dua iliyoongozwa na viongozi wa dini tofauti akiwemo Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Kabhi, Askofu Michael Hafidh kutoka Kanisa la Anglikana Zanzibar na Bhaguan Suria (Mshamba) aliyesoma kwa niaba ya Wahindu.

    Viongozi na wanafamilia waliweka mashada ya maua katika kaburi la marehemu mzee Abeid Amani Karume akiwemo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohammed Kharib Bilal, Mzee Hamid Ameir aliyeweka shada la maua akiwakilisha wazee walioshiriki Mapinduzi ya Januari 12, 1964.

    Mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Luteni Jeneral S.A. Ndomba, Balozi Ali Karume aliyewakilisha familia ya Marehemu Sheikh Abeid Amani Karume na Balozi mdogo wa China anayefanya kazi zake hapa Zanzibar Mhe. Xie Yualing aliyewawakilisha Mabalozi wenzake wa hapa nchini.

    Aidha, Mama Mwanamwema Shein aliungana na akina mama wengine katika hitma hiyo katika Afisi hiyo ya CCM Kisiwandui, akiwemo mjane wa marehemu mzee Abeid Karume, Mama Fatma Karume, Mama Asha Bilali,Mama Zakia Bilal, Mama Asha Balozi na Mama Pili Balozi, Mama Shadya Karume na viongozi wengine wanawake wa kitaifa wakiwemo Mawaziri, Wabunge, Wawakilishini na wananchi kutoka sehemu mbali mbali ya Zanzibar na Tanzania Bara.

    April 7, 1972 ndiyo siku aliyouawa Rais wa Kwanza wa Zanzibar marehemu Mzee Abeid Amani Karume na wapinga maendeleo nchini ambapo hivi leo imetimia miaka 43 tokea utokee msiba huo.



    Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar


  • March 30, 2015

  • KAMATI YA BIASHARA YAELEZEA INAVYOSAIDIA WASAFIRISHAJI WA MIZIGO



    KAMATI YA BIASHARA YAELEZEA INAVYOSAIDIA WASAFIRISHAJI WA MIZIGO
    Mjumbe wa kamati ya kuchunguza vikwazo visivyo vya kiforodha, Jimmy Mwalugelo (katikati)  akizungumza. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Real Insurance, Stephen Okundi na kushoto ni SACP Kaimu Kamanda wa Trafiki nchini SACP Johansen Kahatano.
    Mwalugelo akionesha vibao vitakavyoweka katika magari yaendayo nje ya nchi.
    Wanahabari wakifuatailia tukio hilo.
    KAMATI  ya  kitaifa inayofuatilia  vikwazo vya kibiashara visivyokuwa vya kiforodha na kuwakilisha sekta binafsi kupitia TAFFA,  imetoa tamko kuhusu hatua itakazochukua kuwasaidia wafanyabiashara hasa wasafirishaji wa mizigo ya kibiashara pamoja na watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam na Maziwa Makuu waliopo nchini.
    Akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, mjumbe wa kamati hiyo, Jimmy Mwalugelo, alisema anaishukuru serikali na wafadhili kama vile Trade Mark East Afrika, USAID, JICA na wengine ambao wanawawezesha wafanyabiashara kufanya kazi zao bila usumbufu usio wa lazima.
    Alisema kuwa kamati hiyo ina mipango ya kuanzisha kamati katika mipaka na idara zote za serikali na sekta binafsi  (Joint Border Committees) ambazo hupaswa kukaa kila mwezi japo mara moja na kutatua kero zinazojitokeza za mpakani ili kuepusha ukwepaji wa kodi.
    Alifafanua kuwa anaishukuru pia serikali kwa kukubali ombi lao la kuwa na ofisi za 'Clearing Agent' pamoja na JBC kwa ajili ya kuwapatia ofisi kwenye majengo ya pamoja yanayojengwa kwenye mipakani (One Stop Border Post)  na USAID kwa kuwawezesha kuwapatia vitendea kazi  kupitia TAN TRADE ambapo wametoa kompyuta, mashine za 'photocopy' na 'printer'.
    Vilevile alisema kutoka bandari ya Dar es Salaam hadi mpaka wa Tanzania na Rwanda  huko Rusumo na upande wa Burundi  katika mji wa Kabanga kulikuwa na vizuizi 58 lakini kwa juhudi zao wamefanikiwa kuvipunguza hadi kufikia  sita na bado wanaendelea kufanya jitihada  kuvipunguza zaidi.
    Kamati hiyo ilifafanua kuwa imeweza kugundua matatizo yanayowapata madereva wanaoendesha magari yanayoenda nchi jirani pale wanapopata ajali njiani na wengine kupoteza maisha wakati magari hayajafika yanakokwenda.
    "Matatizo yanayojitokeza ni kutojua gari lilikuwa linaenda nchi gani kutokana na kukosa alama ya kuonyesha nchi linakokwenda hivyo baadhi ya waagizaji wa magari hayo  wanashindwa kuja mahali ilipotokea ajali na mahali lilipo gari," alisema.
    Aidha alisema kamati imejielekeza katika sekta binafsi ambapo inahimiza kuwakatia bima (Real Insurance) madereva wanaoendesha magari yanayoenda nchi za jirani kwa kuwalipa mafao kidogo kwa ajili ya gharama za usafiri na kujikimu kwa matibabu wapatapo ajali njiani kwa mfano mtu akifariki ambapo hulipwa  sh.3,000,000/=kwa ajili ya kusafirisha mwili na kwa majeruhi bima itatoa kiasi cha sh.500,000/=
    "Real Insurance itatengeneza vibao maalum ambavyo vitakuwa na bendera maalumu ya nchi,  gari linakokwenda na stika maalum inayoonesha kuwa limekatiwa bima ya dereva na atapewa namba za simu kwa ajili ya kupiga endapo atapata tatizo akiwa safarini ambapo namba hizo zitapatikana katika vituo vyote vya polisi vilivyoko katika barabara iendayo nchi za jirani," alihitimisha.
    (PICHA / HABARI: NA DENIS MTIMA/GPL)


  • March 18, 2015

  • ACACIA'S 2014 CEO EXCELLENCE AWARDS



    ACACIA'S 2014 CEO EXCELLENCE AWARDS
    Chief Executive Officer with Acacia Gold Mine Plc, Brad Gordon, (R), presents the 2014 CEO Excellence Award, to the Security Manager Operations of Bulyanhulu Gold Mine, Assistant Commissioner of Police (rtd), Abdallah Msika, during the Acacia Mining Plc Excellence Award ceremony held at the mining site, in Kahama District, Shinyanga region late on Tuesday, March 17, 2015. The CEO award, is awarded to a person leads by example and is an inspiration to others. Always lives the desired behaviors and is a role model, passionate about their work in Acacia. Witnessing the event, in Bulyanhulu Gold Mine General Manager Michelle Ash
    Acacia's Chief Executive Officer, Brad Gordon, (R), presents the Best Site OHS Performance Safety Award, to Abel Yiga on behalf of North Mara Gold Mine's General Manager, Gary Chapman, during the 2014 Acacia CEO Excellence Award held at Bulyanhulu Gold Mine in Msalala District Shinyanga region, Tuesday March 17, 2015.

    Bulyanhulu Gold Mine's General Manager, Michelle Ash, makes the welcoming speech at the 2014 Acacia's CEO Excellence Award held at the mining sit, in Msalala District Shinyanga region late on Tuesday March 17, 2015.
    Workers of Bulyan hulu Gold Mine, in Kahama District Shinyanga region, attend the 2014 Acacia's CEO Excellence Award held at the mining site late on Tuesday.

    Acacia Mining Plc, Chief Executive Officer, Brad Gordon, gestures as he speaks during the 2014 Acacia CEO Excellence Award ceremony held at Bulyanhulu Gold Mine, in Msalala District, Shinyanga region, late on Tuesday March 17, 2015. Right is Bulyanhulu Gold Mine General Manager, Michelle Ash.
    One of the Bulyanhulu Gold Mine staff takes the floor, during the dance at the 2014 Acacia's CEO Excellence Award ceremony held at the mining site in Msalala District, Shinyanga region late on Tuesday March 17, 2015.

    Chief Executive Officer with Acacia Gold Mine Plc, Brad Gordon, (R), presents the 2014 CEO Excellence Award, to Acacia's Finance Manager, Jason Watson, during the Acacia Mining Plc Excellence Award ceremony held at the mining site, in Msalala District, Shinyanga region late on Tuesday, March 17, 2015. The CEO award, is awarded to a person leads by example and is an inspiration to others. Always lives the desired behaviors and is a role model, passionate about their work in Acacia.
    Acacia's Chief Financial Officer, (CFO), Andrew Wray, (R), presents "Tufanikiwe Pamoja Award, to treasury team member of Acacia, Karen Du Perez, during the 2014 Acacia CEO Excellence Award, held at Bulyanhulu Gold Mine in Msalala District, Shinyanga Region, late on Tuesday March 17, 2015.


  • March 13, 2015

  • EALA SPEAKER CALLS ON PRESIDENT PIERRE NKURUNZIZA OF BURUNDI


    EALA SPEAKER CALLS ON PRESIDENT PIERRE NKURUNZIZA OF BURUNDI
    The Speaker of the East African Legislative Assembly, Rt. Hon Daniel Kidega this morning paid a courtesy call on the President of the Republic of Burundi, H.E. Pierre Nkurunziza at the Presidency in Bujumbura.

    The President reiterated that Burundi was committed to the integration process and urged the Assembly to steady its mandate as it continues in its quest to serve East Africans President Nkurunziza remarked that the citizens of the region had continued to reap from the benefits of integration and added the Summit of the EAC Heads of State was very keen to see all its directives implemented.
    President Pierre Nkurunziza welcomes the Speaker of EALA, Rt. Hon Daniel Kidega
     H.E. Nkurunziza cited the example of the alternative funding mechanism which he noted once implemented, would contribute to the long-term sustainability of the Community. The Head of State further applauded EALA for its role in sensitization and outreach saying the decision by the leadership to reach out to various stakeholders on the sidelines of its Plenary meeting in Bujumbura was laudable.

    He remarked that the country was approaching elections and that the government would adhere to the principle of democracy and constitutionalism. On his part, the Speaker of EALA, Rt. Hon Daniel Kidega congratulated the President for steering Burundi to the path of development and expressed solidarity with the citizens of Burundi as they prepare for the forthcoming general elections.
    President Pierre Nkurunziza exchanges notes with the Speaker of EALA, Rt. Hon Daniel F. Kidega
     The Speaker remarked that it was vital for the country to remain calm, and peaceful as it approaches the electioneering period. The Speaker further hailed the Summit of EAC Heads of State for steering the region progressively.  He said the EAC was witnessing an interesting period coupled with notable progress across all sectors. 

     "The pillars of integration remain on course despite the challenges.  But there is goodwill across board", Rt Hon Kidega said. The Speaker remarked that EALA would continue to play its part in the integration dispensation and assured the President the Assembly would remain independent, and true to the ideals of East Africans.  The Speaker briefed the President on the leadership challenges that EALA grappled with last year and said the Assembly was now stronger and more united.

    He reiterated that regional legislature had among other things, earmarked re-branding and the speedy tackling of the backlog of pending work as some of its priorities. At our last Sitting in Arusha in January 2015, we passed 2 key bills while another six sailed through the first reading.

      A number of resolutions and reports were also debated and adopted.  We shall continue with this spirit in Bujumbura. We are on the run as an Assembly, and there is no looking back for now," Speaker Kidega said.

    Rt Hon Kidega termed the Bill on the Elimination of the Non-Tariff Barriers as key towards fostering free movement and said the Assembly would embark on the processes of debate and eventual passage.   The Bill was one of the six that sailed through the First reading in Arusha in January, 2015.

    Present at the occasion was EALA Member and the Chair of the Burundi Chapter, Hon Hafsa Mossi.EALA shall commence its 5th Meeting of the 3rd Session of the 3rd Assembly on Monday next week.   President Pierre Nkurunziza is expected to address a special sitting of the Assembly on Tuesday, March 17, 2015.


  • March 11, 2015

  • Airtel Tanzania Jobs - 3/11/2015


    Airtel Tanzania Jobs - 3/11/2015
    HIGH VALUE EXPERIENCE MANAGER POSITION DESCRIPTION:

    Position Description Document (download) 

    PROCESS & GOVERNANCE EXPERIENCE OFFICER POSITION DESCRIPTION:

    Position Description Document (download) 

    PREMIER RELATIONSHIP MANAGER POSITION DESCRIPTION:

    Position Description Document (download) 

    SERVICE AUTOMATION MANAGER POSITION DESCRIPTION:

    Position Description Document (download) 

    KYC EXPERIENCE OFFICERS POSITION DESCRIPTION:

    Position Description Document (download) 

    ADMINISTRATION ASSISTANT POSITION DESCRIPTION:

    Position Description Document (download) 

    To apply, please email your CV to: recruitment@tz.airtel.com with Position Title on the email subject line.  The deadline for sending applications is Sunday 15th March, 2015.

  • AJIRA TTCL - 3/11/2015



    AJIRA TTCL - 3/11/2015
      Quality Officer/Commercial:   
    Deadline: (Wednesday, March 18, 2015)

      Quality Officer/Network:   
    Deadline: (Wednesday, March 18, 2015)

      Quality Officer/Support:   
    Deadline: (Wednesday, March 18, 2015)

    APPLY


  • HIV rate above national average in Coastal Region shocks RC



    HIV rate above national average in Coastal Region shocks RC


    The rate of HIV/Aids infection in the Coast Region, standing at 7.2 percent has shocked its Regional Commissioner, Evarist Ndikilo, because the national rate is 5.9 percent.
     
    Describing it as a threat to the country, he asked medical officers in the region to help contain the scenario.
     
    In a briefing to the RC on Friday, Kibaha Municipal Director Jenifa Omolo said 11, 996 people underwent voluntary testing between January and October last year among whom 5,190 were women and 6,806 men, but 1,064 of them were found to be HIV positive.
     
    Omolo said among them, 388 were men and 676 women, of whom 369 were pregnant. This represented an infection rate of 7.4 percent in men and 9.9 percent in women, she said.
     
    She explained that 303 infants were born to mothers with the virus, but only eight were found with the virus. She said enough testing kits were required to help in the fight against the disease.
     
    In another development, the Kibaha Municipal Council has handed over Sh96m as soft loan to 87 groups of women small scale entrepreneurs from the Women and Youth Fund in the region to help improve their lives.
     
    The loan has been provided to the group since 2009/10 financial year when a total of Sh16 million was disbursed to 18 groups with 180 members. In the year 2011/12, a total of Sh26.4 million was disbursed to 27 groups with 279 members.
     
    According to Omolo, Sh30.5 million and Sh22.5 million was disbursed to 30 groups with 170 members and 12 groups with 70 members in 2012/2013 and 2013/14 financial years respectively. He said Sh120 million has been set aside for the purpose in the 2015/2016 financial year

  • February 24, 2015

  • Chadema yaigaragaza vibaya CCM uchaguzi wa serikali za mitaa Sumbawanga mkoani Rukwa...Chadema yanyakua mitaa 37 CCM yaambulia mitaa 5




    Chadema yaigaragaza vibaya CCM uchaguzi wa serikali za mitaa Sumbawanga mkoani Rukwa...Chadema yanyakua mitaa 37 CCM yaambulia mitaa 5
    Wafuasi wa Chadema wakishangilia katika Kata ya Chanji baada ya chama hicho kuibuka na ushindi katika uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi mjini Sumbawanga.
    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeigaragaza vibaya CCM katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika juzi katika kata tatu za Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambazo hazikufanya uchaguzi Desemba 14, mwaka jana.
    Uchaguzi katika kata hizo uliahirishwa kutokana na kasoro mbalimbali jambo lililosababisha mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga, William Shimwela kusimamishwa kazi.
    Msimamizi wa uchaguzi huo uliofanyika katika kata za Msua, Chanji na Kizwite na mitaa mingine miwili iliyorudia uchaguzi, Hamid Njovu alisema Chadema ilinyakua jumla ya mitaa 37 kati ya 44 na kuiacha CCM ikiambulia mitaa mitano.
    Matokeo hayo mapya yanaibuka sasa wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilishahitimisha kutangaza matokeo ya jumla ya mitaa katika uchaguzi huo ikisema ulikuwa umekamilika kwa asilimia 100.
    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tamisemi, Kalist Luanda alisema Desemba 24, mwaka jana kuwa mitaa yote 3,875 nchini ilifanya uchaguzi na kukamilika kwa asilimia 100 huku CCM ikipata asilimia 66.66 baada ya kuzoa mitaa 2,583, ikifuatiwa na Chadema iliyopata mitaa 980 (asilimia 25.3), CUF mitaa 266 (asilimia 6.9), NCCR Mageuzi mitaa 28 (asilimia 0.7), TLP mtaa mmoja (asilimia 0.03), ACT mitaa 12 (asilimia 0.31), UDP mitaa mitatu  (asilimia 0.08), NRA mtaa mmoja (asilimia 0.03) na UMD mtaa mmoja (asilimia 0.03).
    Matokeo mapya
    Akitangaza matokeo hayo jana, Njovu alisema katika Kata ya Kizwite kati ya mitaa 15 iliyofanya uchaguzi Chadema ilishinda mitaa 13 dhidi ya CCM iliyoambulia mitaa miwili, Kata ya Msua mitaa yote 13 iliyofanya uchaguzi ilikwenda kwa Chadema na CCM kuambulia patupu.
    Alisema kwa Kata ya Chanji ambayo ilikuwa na mitaa 14 iliyofanya uchaguzi, Chadema ilishinda mitaa 10 na CCM mitatu huku mtaa mmoja wa Nankasi kura ziligongana katika nafasi ya uenyekiti, hivyo kuamuliwa uchaguzi utarudiwa Jumapili.
    Njovu alisema katika uchaguzi wa marudio uliofanyika kwenye mitaa miwili kila chama, CCM na Chadema, kiliibuka na ushindi katika mtaa mmoja ambao mtaa wa Bangwe Kata ya Izia ulichukuliwa na CCM na ule wa Tambazi katika Kata ya Sumbawanga ukaenda Chadema.
    Uchaguzi huo uliofanyika kwa amani na utulivu tofauti na ilivyokuwa Desemba 14, mwaka jana ambapo ulivurugika katika kata hizo kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza ikiwa pamoja na vituo kuchelewa kufunguliwa.
    Hali hiyo ilisababisha wananchi waliokaa vituo kwa zaidi ya saa nane wakisubiri kupiga kura kuhamaki na kujichukulia sheria mkononi kwa kuchoma moto ofisi ya mtendaji wa kata ya Kizwite na Chanji na kuteketeza nyaraka zote za kupigia kura, hivyo kufanya mchakato mzima wa uchaguzi huo kufanyika upya.
    Akizungumza baada ya matokeo hayo, Mwenyekiti wa Chadema mkoani Rukwa, Zeno Nkoswe aliwashukuru wananchi waliojitokeza kwa wingi kupiga kura na kufanya Chadema kuibuka na ushindi wa kimbunga na kuwa huo ni mwanzo wa kuelekea ukombozi wa Taifa kutoka mikononi mwa CCM.
    Kwa upande wake, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Rukwa, Clement Bakuli alisema wameyapokea matokeo hayo kwa masikitiko, lakini katika mpambano wowote lazima mshindi apatikane, hivyo chama kitakaa kufanya tathmini kuona wamekosea eneo gani ili waweze kujirekebisha katika uchaguzi ujao.
    Pamoja na matokeo hayo, timu nzima ya CCM ngazi ya wilaya ikiongozwa na mwenyekiti wake wa mkoa, Emmanuel Kilindu na Mbunge wa Sumbawanga Mjini Aeshi Hilaly walipiga kambi na kufanya kampeni za nguvu katika kata hizo lakini haikufua dafu.
    Ushindi huo ni mwendelezo wa mafanikio ya Chadema ndani ya Ukawa katika uchaguzi huo Desemba 14 na kurudiwa Desemba 21 katika baadhi ya maeneo, yaliyoonyesha kuwa uungwaji mkono wa CCM katika maeneo ya mijini umeporomoka kwa kasi huku wa upinzani ukiimarika.
    Katika uchaguzi huo, chama kipya cha ACT-Tanzania kilichomoza na kuviacha baadhi ya vyama vikongwe ambavyo havikupata hata nafasi ya ujumbe katika uchaguzi ulioelezwa na Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi) kuwa ulikuwa umekamilika kwa asilimia 99.
    Katika maeneo ya vijiji na vitongoji, CCM ilipata ushindi wa asilimia 79.81 (vijiji) na 79.83 katika vitongoji, wakati kwenye mitaa ambayo ipo sehemu za mijini kilishuka zaidi na kupata asilimia 66.66, ikilinganishwa na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 1999, ambapo chama hicho kilipata asilimia 89.2 katika mitaa, asilimia 91 katika vitongoji na asilimia 91.6 


  • Copyright @ 2013 Michapo | Kisiwa cha Habari.