March 05, 2016

Maalim Seif awasili Zanzibar



Maalim Seif awasili Zanzibar leo hii
 
 Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili Zanzibar alasiri YA LEO akitokea nchini India na Oman. Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege alilakiwa na viongozi kadhaa wa CUF na baadaye kuelekea kwenye makaazi yake, Mbweni.
  


No comments:

Post a Comment