Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari nchini mbele ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari( MAELEZO), Assah Mwambene, Sungura amesema lengo la TMF ni kuleta mabadiliko chanya katika tasnia ya habari na kuona wananchi wanapata taarifa kwa wakati.
February 25, 2016
Mfuko wa Habari Tanzania (TMF ) Wasema Uko Tayari Kutoa Msaada wa Fedha Ili Kuiwezesha TBC Kutangaza LIVE Mwenendo wa Bunge
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari nchini mbele ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari( MAELEZO), Assah Mwambene, Sungura amesema lengo la TMF ni kuleta mabadiliko chanya katika tasnia ya habari na kuona wananchi wanapata taarifa kwa wakati.
No comments:
Post a Comment