August 25, 2015

AJALI YA DALADALA YATUMBUKIA KWENYE MTARO NA KUJERUHI BAADHI YA ABIRIA


AJALI YA DALADALA YATUMBUKIA KWENYE MTARO NA KUJERUHI BAADHI YA ABIRIA
DSC_0006
Moja ya matukio yaliyonifikia August 25 ni pamoja na hii ajali ya daladala linalofanya safari kati ya Tabata-Segerea- Mnazi Mmoja iliyotokea maeneo ya Tabata Matumbi.


Shuhuda wa ajali hiyo amesema basi hilo lililokua likitokea mjini lilikikwepa lori na kudumbukia kwenye mtaro huku baadhi ya abiria wakijeruhiwa.
Nimekuwekea hizi picha za tukio hilo….
DSC_0001
DSC_0002
DSC_0004
DSC_0006

DSC_0004

DSC_0001
PICHA  KWA HISANI YA MILLARD AYO .COM
PAPO


No comments:

Post a Comment