November 11, 2014

Jerry Silaa awasha umeme shule ya msingi Ipililo A wilayani Simiyu



Jerry Silaa awasha umeme shule ya msingi Ipililo A wilayani Simiyu

Maswa kijijini_25

Mlezi wa Mkoa wa Simiyu Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akikabidhi mchango wa shilingi milioni moja kwa Mwalimu Macha mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Ipililo A akipokea kwa niaba ya wananchi ili kuunganishwa na Umeme shuleni hapo.



No comments:

Post a Comment