October 21, 2014

Mheshimiwa Dkt Augustine Lyatonga Mrema ahutubia mkutano wa hadhara jimboni kwake vunjo



Mheshimiwa Dkt Augustine Lyatonga Mrema ahutubia mkutano wa hadhara jimboni kwake vunjo
 Mbunge wa jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha TLP, Dkt. Augustine Lyatonga Mrema akihutubia katika mkutano wa hadhara jimboni kwake  jana kwa ajili ya kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na pia kuelezea utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.

Katika jimbo hilo la Vunjo kumekuwepo na Mvutano mkubwa wa kuliwania katika uchaguzi mkuu wamakani ambapo kwa vyama vya CCM tayari kijana Innocent Shirima ameshatangaza nia kama alivyofanya  Mh. James Mbatia wa NCCR-Mageuzi.


No comments:

Post a Comment