August 03, 2014

Naibu Spika wa Bunge na Ujumbe wake watembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia



Naibu Spika wa Bunge na Ujumbe wake watembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania,Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akiwa ameambatana na waheshimiwa   Wabunge Saleh Ahmed Pamba, (Pangani),Abdulkarim Esmail Hassan Shah (Mafia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Malaysia Dkt. Aziz Ponary Mlima (wa tatu kulia) pamoja na maafisa wa Ubalozi huo wakati walipotembelea Ubalozini hapo wakiwa kwenye ziara ya kikazi nchini Malaysia.


No comments:

Post a Comment