August 06, 2014

BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8




BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8
Bondia Khalid Chokoraa (kushoto), ambaye pia ni mwanamuziki wa bendi ya  Mapacha watatu  akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Rashidi Juma wakati wa mazoezi katika kambi yake iliyoko  Mwananyamala jijini Dar es salaam akijiandaa kupambana na  Said Memba katika mpambano wao utakaofanyika Agosti Nane wakati wa siku ya tamasha la matumaini Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Bondia Khalid Chokoraa akipiga begi wakati wa maandalizi ya kujiandaa na mchezo wake 
Bondia Khalid Chokoraa  kushoto akielekezwa jinsi ya kupiga 'upper-cut' na Ramadhani Jifasto wakati wa mazoezi yake yanayoendelea katika kambi yake iliyoko  mwananyamala jijini Dar es salaam
Bondia Khalid Chokoraa. Picha zote na Super D


No comments:

Post a Comment