August 02, 2014

ARSENE WENGER AMFUNGULIA MLANGO WA KUTOKEA THOMAS VERMAELEN WAKATI UNITED NA BARCELONA WAKIONYESHA MLANGO WA KUINGILIA




ARSEN WENGER AMFUNGULIA MLANGO WA KUTOKEA THOMAS VERMAELEN WAKATI UNITED NA BARCELONA WAKIONYESHA MLANGO WA KUINGILIA
Mlango umefunguliwa kwa Vermaelen wakati huu Manchester United na Barcelona wakihusishwa.

Arsene Wenger amesema kuwa mlinzi wa kati na nahodha wake Thomas Vermaelen anaweza akaondoka Arsenal, wakati huu ambapo Manchester United wakiendelea kuonyesha nia ya kumsajili.

Wenger, akiongea kuelekea katika ushiriki wao wa Emirates Cup mwishoni mwa wiki hii amesema anategemea mlinzi huyo wa kati wa Belgium atasalia klabuni lakini pia anayo nafasi ya kuondoka.

Menejea huyo wa washika mitutu amesema 
'Ni majeruhi kwasasa, lakini kuna uwezekano pia akaondoka lakini nategemea atabaki ni mchezaji mzuri.'

Vermaelen anawindwa na meneja Manchester United Louis van Gaal lakini pia amekuwa akihusishwa na kuelekea Barcelona.

Wenger pia ametupilia mbali juu ya tetezi za kutaka kuwasajili Mcolombia Juan Quintero na Mario Balotelli.
Prepare: Wenger was speaking ahead of the                    Emirates Cup, Arsenal's annual pre-season tournament
Wenger alikuwa akiongea kuelekea Emirates Cup, Arsenal michuano ya mwishoni katika maandalizi ya msimu
Long-term: Wenger plans to                  convert new signing Calum Chambers into a central                  defender
Wenger anajipanga kumbadilisha Calum Chambers kucheza ulinzi wa kati
Fit as a fiddle: Jack                    Wilshere is in the best shape for three years,                    according to Arsenal boss Wenger
Jack Wilshere amekuwa katika hali nzuri kimchezo katika kipindi cha miaka mitatu anasema Wenger


No comments:

Post a Comment