Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru
Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru Wadau haswa lale lalioenda umri kidogo, hebu tukumbushane mabasi yetu ya zamani. Mengi yalikuwa ni Leyland.
Nakumbuka Njuweni, Masama Clif na Masama Safari, Yarabi Salama na Yarabi Toba
No comments:
Post a Comment