May 14, 2014

REVEALED:HATIMAYE YULE MWANARIADHA WA SOUTH AFRIKA INAYOSEMEKANA ANA JINSIA MBILI ANATAKA KUMUONA GIRLFRIEND WAKE



Mwanariadha wa kike wa South Africa ambaye pia mshindi wa Medali ya Olypinc Caster Semenya imeripotiwa anataka kumuoa mwanariadha mwenzake Violet Rasebova.

Caster Semenya akiwa Violet Rasebova

Kwamujibu wa wa website ya Daily Sun, Semenya (23) aliwatuma wazazi wake wapeleke posa na kujadiliana kuhusu mahali. .......STORY ZAIDI

No comments:

Post a Comment